Aslam alykum wanajf,
*Tangu nimepangwa kufundisha shule moja iramba ktk kijiji alichozaliwa mbunge wa jimbo la iramba magharibi,kijiji cha makunda,nimeendelea kumlaumu mungu kwanini amenichagua kuwa mwalimu tena ktk wilaya hii ambayo hakuna maendeleo hata kidogo,
*ktk kijiji hiki cha mwigulu hakuna umeme,hakuna maji safi na salama,hakuna hata zahanati,kuna barabara mbovu,exactly hakuna cha maendeleo hapa nyumbani kwa mwigulu,
*Zaidi ya yote ikanibidi nifatilie maisha binafsi ya mbunge wa huku kiukweli ni hatari,;mwigulu hana nyumba hapa makunda ila akija anapumzikia kwenye nyumba ya kaka yake,nyumba ya kaka yake ndio ina solar kijiji kizima hivyo tunachaji simu zetu hapa kwa shs 1000,
>MWIGURU ALIWAHI KUPATA KICHAA;Mhe mwigulu alisoma mpaka darasa la tano na kisha kuachishwa shule kutokana na tatizo la akili lilokuwa linamkabili,Baada ya kuacha masomo alipotea kijijini hapo kwa miaka kadhaa na akakamatiwa ktk pori la misigiri,pori ambalo linahistoria ya kuwa kambi za majambazi wateka magari.
Mkuu nimeweka ukweli mtupu wala sina nia mbaya.
Aslam alykum wanajf,
*Tangu nimepangwa kufundisha shule moja iramba ktk kijiji alichozaliwa mbunge wa jimbo la iramba magharibi,kijiji cha makunda,nimeendelea kumlaumu mungu kwanini amenichagua kuwa mwalimu tena ktk wilaya hii ambayo hakuna maendeleo hata kidogo,
wewe ni mzushi, muongo na mpotoshaji mkubwa..mwigulu amezaliwa kijiji cha ulemo
Aslam alykum wanajf,
*Tangu nimepangwa kufundisha shule moja iramba ktk kijiji alichozaliwa mbunge wa jimbo la iramba magharibi,kijiji cha makunda,nimeendelea kumlaumu mungu kwanini amenichagua kuwa mwalimu tena ktk wilaya hii ambayo hakuna maendeleo hata kidogo,
*ktk kijiji hiki cha mwigulu hakuna umeme,hakuna maji safi na salama,hakuna hata zahanati,kuna barabara mbovu,exactly hakuna cha maendeleo hapa nyumbani kwa mwigulu,
*Zaidi ya yote ikanibidi nifatilie maisha binafsi ya mbunge wa huku kiukweli ni hatari,;mwigulu hana nyumba hapa makunda ila akija anapumzikia kwenye nyumba ya kaka yake,nyumba ya kaka yake ndio ina solar kijiji kizima hivyo tunachaji simu zetu hapa kwa shs 1000,
>MWIGURU ALIWAHI KUPATA KICHAA;Mhe mwigulu alisoma mpaka darasa la tano na kisha kuachishwa shule kutokana na tatizo la akili lilokuwa linamkabili,Baada ya kuacha masomo alipotea kijijini hapo kwa miaka kadhaa na akakamatiwa ktk pori la misigiri,pori ambalo linahistoria ya kuwa kambi za majambazi wateka magari.
Hapo sasa, njia ya muongo ni fupi wewe, subiri uone anabyojikanyagaMh,baada ya kukamatiwa hapo nini kiliendelea? Embu tujuze iliendeleaje hadi akahitimu msingi,sekondari hadi chuo
mungu amjaalie mzima mh. mwigulu nchemba ili aendelee kuwa mwiba kwa chadema na watu wenye chuki kama mleta mada