Ukweli kuhusu wanawake wa kibongo

Ukweli kuhusu wanawake wa kibongo

Ray M

Senior Member
Joined
Sep 23, 2012
Posts
182
Reaction score
61
Ukitaka kumtisha mwanamke wa ki-sauzi mwambie una ukimwi,
Ukitaka kumtisha mwanamke wa ki-marekani mwambie una cancer,
ukitaka kumtisha mwanamke wa ki-china mwambie una sars,
na ukitaka kumtisha mwanamke wa ki-bongo mwambie huna HELA.
Ni kweli?
 
Ukitaka kumtisha mwanamke wa ki-sauzi mwambie una ukimwi,
Ukitaka kumtisha mwanamke wa ki-marekani mwambie una cancer,
ukitaka kumtisha mwanamke wa ki-china mwambie una sars,
na ukitaka kumtisha mwanamke wa ki-bongo mwambie huna HELA.
Ni kweli?
Hii ni kweli, nadhani sababu kuu ni kwamba ukimwi unajikinga kwa kondomu lakini hakuna kondomu ya kujikinga kwa ukosefu wa hela
 
No love without money. Work hard kijana kutafuta pesa. Au unataka iwe malior upewe?
 
pesa ndio mpango mzima magonjwa hayawezi kutibika bila pesa
 
tena uzuri ukiwa na pesa unawagegeda na kuwatupa kule...no need to deal with their dramas.

ila hiyo ya wasauz nakataa...wanagegedana hao kama hamna ngoma
 
Kiukweli jaman pesa ndo kila kitu huwez kula bila ya pesa kuvaa,kulala hata kwenda chooni bila ya pesa hakuwezekani
 
sio kweli kwani hapa hapa bongo masikini wanaona na hadi ombaomba wa mtaani nao wanaoa kila siku. kila mwanaume ana hadhi ya mwanamke fulani. tatizo la wanaume wachache wanawafuata wanawake wasio wa hadhi yao hivyo kujikuta wanalazimika kuingia mifukoni hata bila hiyari yao.
 
Back
Top Bottom