steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
Siku hizi kumekuwa na wimbi kubwa la akina baba walezi nikimaanisha mkeo anakubebea mimba kutoka kwa mchepuko wewe unalea.
Ukijaribu kufikiria utapata jibu wanawake siyo kosa lao ila ni mwendelezo wa yaliyofanywa na Eva kwenye Biblia.
Ukisoma Biblia, Eva alikula tunda na tunda ilikuwa ni kufanya mapenzi. Alifanya mapenzi akapta ujauzito nje ya mume wake Adam na Adam alilea tu.
Kwahiyo na wanawake wa Sasa wanafanya vilevile na wanaume pia wanafanya vilevile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukijaribu kufikiria utapata jibu wanawake siyo kosa lao ila ni mwendelezo wa yaliyofanywa na Eva kwenye Biblia.
Ukisoma Biblia, Eva alikula tunda na tunda ilikuwa ni kufanya mapenzi. Alifanya mapenzi akapta ujauzito nje ya mume wake Adam na Adam alilea tu.
Kwahiyo na wanawake wa Sasa wanafanya vilevile na wanaume pia wanafanya vilevile.
Sent using Jamii Forums mobile app