mgonjwa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 514
- 223
Taarifa kutoka katika chanzo cha kuaminika kabisa ni kua majina yatatoka wiki ijayo. Mtoa taarifa huyo alinitonya kua leo hii wizara ya mambo ya ndani inasoma bajeti yake then jumamosi wadau wengi wakiwemo wa uhamiaji wanarejea jijini Dar na kuweka majina hadharani wiki ijayo.
NB: hizi ndo taarifa sahihi achaneni na wababaishaji jiandanaeni, ni taarifa tu ukisoma pita kimya kimya.
NB: hizi ndo taarifa sahihi achaneni na wababaishaji jiandanaeni, ni taarifa tu ukisoma pita kimya kimya.