Baba Rhobi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 1,798
- 3,257
Mwanzoni nilikua naiona kama mpya kabisa, ila baada ya muda mara ika anza kubanduka sijui kioo walikabandika na gundi gani kika anza kutoka, ilipodondoka kidogo ndo ilisambaa, imagine non-removable betri sim inadondoka hadi inasambaa kila kitu.Ulikutwa na nini kiongozi?