Nimewahi kusema kuwa dawa ya mpotoshaji ni kumvua nguo zinazofanya watu wasijue kuwa anapotosha, ukishaziondoa nguo hizo hawezi kumhadaa yeyote tena. Ni bahati mbaya kuwa vijana wengi ktk hii mitandao ya kijamii wanapenda kucomment, kupost na kushare lakini kamwe hawapendi kusoma na kutafakari kwa kina kabla ya ku-comment.
Picha hizi ni za kikao cha kwanza cha World Refugee Council kilichofanyika Geneva-Uswisi tarehe 12 June 2017. Mh Jakaya Kikwete ni mwenyekiti mwenza wa WRC. Wengine ni Dr Lloyd Axworthy/Canada ( Huyo bonge aliyevaa tai Nyekundu ) huyu ndiye mwenyekiti wao, Paul Heinbecker/Canada (Huyo mwenye kipara ), Hina Jilani/Pakistan (Mwanamama aliyevaa nguo yenye ukijani na kijivu) na wa mwisho ni Rita Sussmuth/Ujerumani (Aliyevaa koti la pundamilia).
Picha hizi ziliwekwa mtandaoni na Mh Jakaya Kikwete tar 13 baada ya kumalizika kwa kikao hicho. Kwa ushahidi Bonyeza hapa
[HASHTAG]#Note[/HASHTAG] Hivyo, ukikutana na mtu yeyote amezitumia picha hizo kwa habari tofauti usimcheke, bali mwambie kuwa Ujinga wa kutokujua huondolewa na maarifa, lakini ujinga wa kujitakia ili kupotosha hukudharilisha.
We! Umekalia "Siti" ya mtu!! Joseverest njoo!Mbona mnajihami hivyo mkuu......
Nchi ilishaliwa beyond recovery, hata tungekuwa tunachimba dola bado umaskini wetu ungebaki pale pale, umaskini sio resources ni mindset.... Muulize mtemi Chenge.
Lissu baada ya kuumbuliwa umirembe wake umeongezeka mara dufuKama Tundu Lissu alivyovuliwa Nguo
Acha uongo.JK ali tweet yupo CANADA baada ya kupitia hapo DUBAI.Nimewahi kusema kuwa dawa ya mpotoshaji ni kumvua nguo zinazofanya watu wasijue kuwa anapotosha, ukishaziondoa nguo hizo hawezi kumhadaa yeyote tena. Ni bahati mbaya kuwa vijana wengi ktk hii mitandao ya kijamii wanapenda kucomment, kupost na kushare lakini kamwe hawapendi kusoma na kutafakari kwa kina kabla ya ku-comment.
Picha hizi ni za kikao cha kwanza cha World Refugee Council kilichofanyika Geneva-Uswisi tarehe 12 June 2017. Mh Jakaya Kikwete ni mwenyekiti mwenza wa WRC. Wengine ni Dr Lloyd Axworthy/Canada ( Huyo bonge aliyevaa tai Nyekundu ) huyu ndiye mwenyekiti wao, Paul Heinbecker/Canada (Huyo mwenye kipara ), Hina Jilani/Pakistan (Mwanamama aliyevaa nguo yenye ukijani na kijivu) na wa mwisho ni Rita Sussmuth/Ujerumani (Aliyevaa koti la pundamilia).
Picha hizi ziliwekwa mtandaoni na Mh Jakaya Kikwete tar 13 baada ya kumalizika kwa kikao hicho. Kwa ushahidi Bonyeza hapa
[HASHTAG]#Note[/HASHTAG] Hivyo, ukikutana na mtu yeyote amezitumia picha hizo kwa habari tofauti usimcheke, bali mwambie kuwa Ujinga wa kutokujua huondolewa na maarifa, lakini ujinga wa kujitakia ili kupotosha hukudharilisha.
Wewe ni wale waitwao vilazaMbona mnajihami hivyo mkuu......
Nchi ilishaliwa beyond recovery, hata tungekuwa tunachimba dola bado umaskini wetu ungebaki pale pale, umaskini sio resources ni mindset.... Muulize mtemi Chenge.
Inabidi ajifiche.Kama Tundu Lissu alivyovuliwa Nguo
Hujui hata unachokiandika, elimu elimu elimu.Kitendo cha kamati ya pili ya makinikia kuacha kumtaja Jakaya kikwete kama mmoja wa mawaziri, tena waziri wa kwanza wa madini kusign mikataba ya madini na baadae mheshimiwa rais kudai wale waliotajwa kwenye report hiyo wahojiwe inasababisha kuwa rahisi sana kuona uwezekano wa ile report kuwa ililuwa doctored pale ikulu.
Ikulu yetu imekuwa na kawaida ya kutengeneza kamati za uchunguzi huku yenyewe ikiwa na msimamo wake wa kile inataka kirepotiwe.
Mfano ni report ya Jaji Kisanga aliyomkabidhi mheshimiwa mkapa,baada ya kukabidhiwa report Mkapa alikuja juu kwamba report imezungumzia mambo ambayo kimati haikuambiwa kuyaangalia.Inawezekana huo ulikuwa ni mwanzo wa ikulu kutaka kuedit report kabla ya kuwa rasmi.
Hii inasababisha hata tunaofurahishwa na hatua anazochukua rais kuwa wagumu kumsupport,.
Wewe ndiyo kilaza wa kutupwa, kwani JK amesafiri kwenda Canada tu? Jiongeze ujue hiyo picha ni ya lini na wapi, acha uvuvuzela wa kipumbavu hata kama unalipwa ndo ujitoe ufahamu kiasi hicho?Wewe bure kabisa, Jk alitweet kwenda Canada ww unabadilisha. Akili ya fisi.
Mtaji wa pekee wa CHADEMA awamu hii ni uongo, misiba na upotoshaji. Magufuli kawakamata kila konaChadema mpo kama mnadanga hoja sasa na uzushi
Acha uongo.JK ali tweet yupo CANADA baada ya kupitia hapo DUBAI.
Chadema mpo kama mnadanga hoja sasa na uzushi