Ukweli kuhusu mwanamke na mwanaume

Ukweli kuhusu mwanamke na mwanaume

BLADSOME

Senior Member
Joined
May 12, 2016
Posts
195
Reaction score
72
MDADA!
Mwanaume ni kama bata ukimchunguza sana huwezi kumla! Anakuwa na mambo mengi mabaya ya kweli na mengine ya kuhisi tu nakusingiziwa lakin as long as anakukuna vya kutosha na anaku care vizuri wewe tulia na jizuie sana kumchunguza mtu huyu! Utamchukia milele, ndo ile mtaishia kusema "wanaume wote wanafanana". No, tunatofautiana sana. "If all mens are same, why it took so long for a girl to choose a man(husband)?" Stay with yo man, give him all the best you can! Usimfunue upande wa pili kutaka kujua zaidi. UTAUMIA! Kiasili kabisaa mwanaume ana hulka ya kuwa na wanawake wengi, (Ndo maana waislamu tukapewa chance ya kuoa wake hadi wanne).
Trust me, shortly ni ngum sana mwanaume kuishi na mwanamke (MPENZI) mmoja tu for so long labda siku 2 au 3! Au labda asiwe na mwanamke kabisaa (Pope).
MWANAUME ASICHUNGUZWE JAMANI!
Ukitaka kuwini moyo wa mwaume...
Mpe, mpe, mpe.... yan we mpe tuuu! Maana hakuna namna, mpe tu!

MKAKA (ME)
Mwanamke ni kama kuku! Utampa nafaka nzuri (mahindi/mchele) lakini ataendelea kupakua chini. Usijiulize anatafuta nini kwan hata yeye hajui anatafuta nini na mwisho wa siku atarudi kula mchele ule ule uliempa!
Mwanamke unaweza kumpa good sex, good care, ukawa romantic kama Akshey Kumar lakini akaenda kugegedwa na Manfongo!
Shortly mke/mpenzi wako asikuumize kichwa, hawakui hawa watu! Usipate presha ya kwenda kununua sijui kasongo, urambishwe ugoro sijui mafuta ya tembo! Kamwe huwezi kumridhisha mwanamke!
Ukienda gym utafute sixpacks, kesho atahitaji six cars
Leo atapenda mtu mwenye ndevu kesho anataka asie na ndevu

Yalaaaaaaaaaaaaaaa (in crying voice)

Wow! I've got the best tip...
ukitaka kuwin moyo wa mwanamke inabidi uwe:
1. Mtundu kwa bed
2. Romantic
3. Mfupi
4. Mrefu
5. Mcheshi
6. Uwe na sixpacks
7. Uwe na kitambi
8. Fundi umeme
9. Daktari
10. Chef (Mpishi)
11. Mhuni
12. Mtanashati
13. Msela
14. Mwalimu
15. Mlinzi
16. Baunsa
17. Mnyonge
18. Dancer (mcheza show)
19. DJ
20. Mwimbaji
21. Mwandishi (Text za kubembeleza)
22. Mjanja
23. Bwege
24. TAJIRI
25.........................


.......TO BE CONTINUED.....
 
  • Thanks
Reactions: DLS
na kama hakuni vzuri hdekezi wla habembelezi wla hana maneno mazuri ya kimahaba hpo kuhisiwa vbaya kunahusika.
 
Binadamu ni kama kuku
Unaempa mahindi ila anahangaika kudonyoa gunia la mahindi yaleyale ambayo kayaacha chini. Ila Kifikra yeye hajui anachofanya.

Pia binadamu tupo hivyo . sema sisi tunaviakili vidogo kuwazidi wanyama wengine.
Naamini kama kuna viumbe wengine wanaotuzidi upeo huwa wanatushangaa kama tushangavyo wanyama wengine
 
Binadamu ni kama kuku
Unaempa mahindi ila anahangaika kudonyoa gunia la mahindi yaleyale ambayo kayaacha chini. Ila Kifikra yeye hajui anachofanya.

Pia binadamu tupo hivyo . sema sisi tunaviakili vidogo kuwazidi wanyama wengine.
Naamini kama kuna viumbe wengine wanaotuzidi upeo huwa wanatushangaa kama tushangavyo wanyama wengine

hakuna mnyama aliepewa upeo tuliopewa binadamu,ila kikubwa tutosheke na wapenzi wetu jaamani. utakalo kula kwa ASHA ni sawa na utakachokula kwa MWAJUMA.
 
TUWE NA MIOYO YA KUTOSHEKA JAMANI, UNAWEZA KUMALIZA DUNIA LAKINI USITOSHEKA LAKINI TUKIJIFUNZA KUPUUZIA VYOTE TUTAVIONA SAWA TU, KWANI NYEUPE NA NYEUSI UTAMU SI ULE ULE TU?
 
Inategemea maana wapo wanawake wasio wachepukaji kabisa na pia tupo wanaume ukiwa na mwanamke mmoja moyo unaridhika na akili inatulia kabisa. WAAMINIFU HAWAISHAGI.
 
Hata kama wanaume ni malaya, wanatakiwa kutofanya ufirauni huo hadharani au waziwazi hadi mpenzi au mke wako akakwazika.
Fanya kwa siri na uwe makini na magonjwa ya kileoleo.
 
hakuna mnyama aliepewa upeo tuliopewa binadamu,ila kikubwa tutosheke na wapenzi wetu jaamani. utakalo kula kwa ASHA ni sawa na utakachokula kwa MWAJUMA.
Sio kweli! NAKATAAAAAAAAAAA
 
Hata kama wanaume ni malaya, wanatakiwa kutofanya ufirauni huo hadharani au waziwazi hadi mpenzi au mke wako akakwazika.
Fanya kwa siri na uwe makini na magonjwa ya kileoleo.
Exactly!
 
Inategemea maana wapo wanawake wasio wachepukaji kabisa na pia tupo wanaume ukiwa na mwanamke mmoja moyo unaridhika na akili inatulia kabisa. WAAMINIFU HAWAISHAGI.
WAAMINIFU TUMEBAKI WAWILI TUUU
 
TUWE NA MIOYO YA KUTOSHEKA JAMANI, UNAWEZA KUMALIZA DUNIA LAKINI USITOSHEKA LAKINI TUKIJIFUNZA KUPUUZIA VYOTE TUTAVIONA SAWA TU, KWANI NYEUPE NA NYEUSI UTAMU SI ULE ULE TU?
NYEUPE YA BARIDI, NYEUSI YA MOTO
 
na kama hakuni vzuri hdekezi wla habembelezi wla hana maneno mazuri ya kimahaba hpo kuhisiwa vbaya kunahusika.
WA aina hyo utakuta ndo muaminifu balaaa.... yan hana hata rafiki wa kike, anakupenda wewe tuu!😀😀
 
Back
Top Bottom