ukweli kuhusu madee(sinywi pombe wala kuvuta bangi)

Zasasule

JF-Expert Member
Aug 12, 2009
1,001
103
baadhi ya wabongo walikuwa wakimfikiria madee kuwa yeye ni mvuta bangi pia ni chapombe

cheki hii conversation
37754_411302111365_516276365_5104018_7285426_n.jpg Jana kwenye kipindi cha XXL kinachorushwa na radio ya Clouds FM na kuendeshwa na mtangazaji B12 ilikuwa ni siku ya DISS DOT COM.
Diss zilizosomwa zilikuwa nyingi lakini diss iliyo make hard line ni pale msikilizaji anayekwenda kwa jina la Chitemwe kutoka Tabata alipomdiss msanii kutoka TIP TOPMadee na kumwambia kuwa anaboa anapokuwa stejini amekunywa au kuvuta bangi so anapoimba anakuwa amelegea na hafanyi vizuri stejini.

Sasa leo mtu mzima Madee akashuka mjengoni Clouds FM na kumjibu jamaa huyo aliyetuma diss hiyo namnukuu
"Mimi nilikuwa studio pale kwa master jay na wenzangu nikapata simu zinazosema kuwa kuna mtu kanidiss kuwa mimi mlevi hadi nikiwa stejini nawaboa mashabiki, kilichoniuma zaidi hadi mama yangu alinipigia simu wakati huwa asikilizagi radio. Nachopenda kumwambia huyu kijana ni kwamba mimi huwa Sinywi, Sivuti Bangi wala situmii kilevi chochote, sasa nachosema naweza kumchukulia hatua maana kuna vitu fulani kanipunguzia katika maisha yangu"

So kilichofanywa leo na B12 kumfungia huyo jamaa Chitemwe kutotuma tena diss zozote hadi mpaka pale aruhusiwe.
anajulikana kwa jina
 
Hayo mamabo ya kiboflavour sio mahali pake hapa .Kwani hii sread unadhani inatusadia nini au wewe kama ulivyo?
 
Hayo mamabo ya kiboflavour sio mahali pake hapa .Kwani hii sread unadhani inatusadia nini au wewe kama ulivyo?
man hii its all abt gossips and jokes.kwa nini tusi wapromote wasanii wetu wenyewe
 
wehu mtupu...
post kama hizi ni za kuzi ignore tu..
baadhi ya wabongo walikuwa wakimfikiria madee kuwa yeye ni mvuta bangi pia ni chapombe

cheki hii conversation
View attachment 13492Jana kwenye kipindi cha XXL kinachorushwa na radio ya Clouds FM na kuendeshwa na mtangazaji B12 ilikuwa ni siku ya DISS DOT COM.
Diss zilizosomwa zilikuwa nyingi lakini diss iliyo make hard line ni pale msikilizaji anayekwenda kwa jina la Chitemwe kutoka Tabata alipomdiss msanii kutoka TIP TOPMadee na kumwambia kuwa anaboa anapokuwa stejini amekunywa au kuvuta bangi so anapoimba anakuwa amelegea na hafanyi vizuri stejini.

Sasa leo mtu mzima Madee akashuka mjengoni Clouds FM na kumjibu jamaa huyo aliyetuma diss hiyo namnukuu
"Mimi nilikuwa studio pale kwa master jay na wenzangu nikapata simu zinazosema kuwa kuna mtu kanidiss kuwa mimi mlevi hadi nikiwa stejini nawaboa mashabiki, kilichoniuma zaidi hadi mama yangu alinipigia simu wakati huwa asikilizagi radio. Nachopenda kumwambia huyu kijana ni kwamba mimi huwa Sinywi, Sivuti Bangi wala situmii kilevi chochote, sasa nachosema naweza kumchukulia hatua maana kuna vitu fulani kanipunguzia katika maisha yangu"

So kilichofanywa leo na B12 kumfungia huyo jamaa Chitemwe kutotuma tena diss zozote hadi mpaka pale aruhusiwe.
anajulikana kwa jina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom