Zasasule
JF-Expert Member
- Aug 12, 2009
- 1,001
- 103
baadhi ya wabongo walikuwa wakimfikiria madee kuwa yeye ni mvuta bangi pia ni chapombe
cheki hii conversation
Jana kwenye kipindi cha XXL kinachorushwa na radio ya Clouds FM na kuendeshwa na mtangazaji B12 ilikuwa ni siku ya DISS DOT COM.
Diss zilizosomwa zilikuwa nyingi lakini diss iliyo make hard line ni pale msikilizaji anayekwenda kwa jina la Chitemwe kutoka Tabata alipomdiss msanii kutoka TIP TOPMadee na kumwambia kuwa anaboa anapokuwa stejini amekunywa au kuvuta bangi so anapoimba anakuwa amelegea na hafanyi vizuri stejini.
Sasa leo mtu mzima Madee akashuka mjengoni Clouds FM na kumjibu jamaa huyo aliyetuma diss hiyo namnukuu
"Mimi nilikuwa studio pale kwa master jay na wenzangu nikapata simu zinazosema kuwa kuna mtu kanidiss kuwa mimi mlevi hadi nikiwa stejini nawaboa mashabiki, kilichoniuma zaidi hadi mama yangu alinipigia simu wakati huwa asikilizagi radio. Nachopenda kumwambia huyu kijana ni kwamba mimi huwa Sinywi, Sivuti Bangi wala situmii kilevi chochote, sasa nachosema naweza kumchukulia hatua maana kuna vitu fulani kanipunguzia katika maisha yangu"
So kilichofanywa leo na B12 kumfungia huyo jamaa Chitemwe kutotuma tena diss zozote hadi mpaka pale aruhusiwe.
anajulikana kwa jina
cheki hii conversation
Jana kwenye kipindi cha XXL kinachorushwa na radio ya Clouds FM na kuendeshwa na mtangazaji B12 ilikuwa ni siku ya DISS DOT COM.
Diss zilizosomwa zilikuwa nyingi lakini diss iliyo make hard line ni pale msikilizaji anayekwenda kwa jina la Chitemwe kutoka Tabata alipomdiss msanii kutoka TIP TOPMadee na kumwambia kuwa anaboa anapokuwa stejini amekunywa au kuvuta bangi so anapoimba anakuwa amelegea na hafanyi vizuri stejini.
Sasa leo mtu mzima Madee akashuka mjengoni Clouds FM na kumjibu jamaa huyo aliyetuma diss hiyo namnukuu
"Mimi nilikuwa studio pale kwa master jay na wenzangu nikapata simu zinazosema kuwa kuna mtu kanidiss kuwa mimi mlevi hadi nikiwa stejini nawaboa mashabiki, kilichoniuma zaidi hadi mama yangu alinipigia simu wakati huwa asikilizagi radio. Nachopenda kumwambia huyu kijana ni kwamba mimi huwa Sinywi, Sivuti Bangi wala situmii kilevi chochote, sasa nachosema naweza kumchukulia hatua maana kuna vitu fulani kanipunguzia katika maisha yangu"
So kilichofanywa leo na B12 kumfungia huyo jamaa Chitemwe kutotuma tena diss zozote hadi mpaka pale aruhusiwe.
anajulikana kwa jina