Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,188
- kwa niaba ya majirani zangu walioambukizwa ukimwi kwa bahati mbaya.
- kwa niaba ya wagonjwa wa kwashiakoo east afrika mashariki na kati
- kwa niaba ya mwalimu wangu wa physics ambae hata spelling ya neno physics hawezi kuandika.
-kwa niaba ya vichaa wa milembe ambao wamepata matumaini baada ya kuwepo ufunuo huko loliondo.
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru AD na wote mliohuzuria katika sherehe hii ambayo imeniongezea idadi ya PM
asanteni na mbarikiwe.
DJ tunaomba wimbo wa "mayasa" kabla umeme haujazimwa
hahahaha hahaha! Lol!