Master of Cards
Member
- Dec 29, 2024
- 24
- 25
Tunachotakiwa kujua na kukubali bila kuwa na shaka, ni kwamba mchezo kati ya Simba na Yanga ni moja kati ya Dabi kubwa Afrika.
Hivyo, kufanya jambo lolote kinyume na taratibu kuelekea mchezo ni hatari sana kwa usalama.
Hivyo, ni vema tukubali kuwa vurugu walizoanzisha Yanga kwa kushirikiana na meneja wa uwanja za kuwazuia Simba kufanya mazoezi zingekuwa na madhara makubwa endapo mechi isingeahirishwa.
Bodi ya ligi, Yanga na Simba wakae chini wapange tarehe mpya ya mchezo.
Hivyo, kufanya jambo lolote kinyume na taratibu kuelekea mchezo ni hatari sana kwa usalama.
Hivyo, ni vema tukubali kuwa vurugu walizoanzisha Yanga kwa kushirikiana na meneja wa uwanja za kuwazuia Simba kufanya mazoezi zingekuwa na madhara makubwa endapo mechi isingeahirishwa.
Bodi ya ligi, Yanga na Simba wakae chini wapange tarehe mpya ya mchezo.