Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
Kuna mengi yamesemwa kumhusu Mwenyekiti wa CUF Mh. Ibrahim Lipumba kutokana na safari yake ya Marekani. Ukweli ni Kwama, Dr. Lipumba alituma maombi kuhudhuria National Endowment For Democracy Jjini Washington DC. Hii ilikuwa ni Luncheon Presentation kuhusu democrasia Tanzania. Mh. Lipumba alitaka kuzungumzia maendeleo ya Tanznia tangu uhuru. Kwa hiyo mimi sioni hiyo mambo ya UN na sherehe kubwa ambayo watanzania na vyombo vya habari vimezusha. Dr. Lipumba alipewa kwa dakika 30 TU yeye kapitiliza kwa lisaa lizima..... Sasa uzushi sijui wachumi 500 , Mchumi aliyebobea, Kuishauri UN........!!!.Kupokewa kwa mbwembwe kote nilidhania ilikuwa na mengine lakini siyo hii presentation yake. Hii ndio video ya Lipumba na Document nzima. Kazi kwenu mchambue pumba na mchele....Lipumba Amezungumzia History......sasa muone Watanzania walivyo tupu kichwani kwa kuzusha.
My Take mungu wa CCM-B alienda kumponda Nkapa na Kumwamgia mkuu wa CCM-A misifa. Sikiza
[video=vimeo;34781996]http://vimeo.com/34781996[/video]
Ukitaka Document Download hapa!
http://www.ned.org/docs/IbrahimLipumba.pdf
Huu uzembe wa kusoma na kufuatilia mambo utatufikisha kubaya zaidi. So far, mtu kakaa miezi yote hiyo huko-kama mwenyekiti wa chama mojawapo kikubwa cha upinzani nchini, lakin WATU HAWAJAFUATILIA KWA KINA ALIKUWA ANAFANYA NINI, wanakimbia tu kwenda kumpokea kwa mbwembwe na hadithi za UN!!!!!
Tatizo letu watanzania tuna kurupuka sana,mfano mdogo ni leta mada ambae amedandia gari kwa mbele,
mkuu unahitaji kusoma maandiko ktk vyombo vya habari tofauti tofauti ili unapoleta mada yako uwe umejiridhisha kwanza,
cha kushangaza wewe umeleta video iliyokuwa ikimwonyesha Lipumba mwishoni mwa mchakato baada ya mambo mengi kupita.
mkuu umekurupuka tena umekurupuka sana na hii inanipa wasiwasi sana juu ya baadhi ya wana JF wasioelewa nini wanakifanya.
wana jf tusome tuache ujinga,mitandao imewekwa ili tupate habari na sio kukurupuka na kulata habari wala huna huakika nazo
naomba wana jf sikilizeni hii kitu ili mjue nini kilimpeleka Prof Lipumba USA
kwa wenyeji wa Bukoba mtakumbuka zama hizo za 'mbunge wetu kaongea redioni...' Utamaduni huu wa kupongeza speech zisizo na kichwa wala miguu ni kansa inayotumaliza watanzania.
Nampenda sana Kibaki...maneno machache,kiswahili kibovu lakini point nzito! Hebu ona moja ya maneno yake:
.'....siku itafika,utapiga kura na utaenda nyumbani kwako na maisha yataendelea...sawa jamani? Na hiyo makelele na fitina ya kitu gani? Fanya kazi bwana!'
Kuna mengi yamesemwa kumhusu Mwenyekiti wa CUF Mh. Ibrahim Lipumba kutokana na safari yake ya Marekani. Ukweli ni Kwama, Dr. Lipumba alituma maombi kuhudhuria National Endowment For Democracy Jjini Washington DC. Hii ilikuwa ni Luncheon Presentation kuhusu democrasia Tanzania. Mh. Lipumba alitaka kuzungumzia maendeleo ya Tanznia tangu uhuru. Kwa hiyo mimi sioni hiyo mambo ya UN na sherehe kubwa ambayo watanzania na vyombo vya habari vimezusha. Dr. Lipumba alipewa kwa dakika 30 TU yeye kapitiliza kwa lisaa lizima..... Sasa uzushi sijui wachumi 500 , Mchumi aliyebobea, Kuishauri UN........!!!.Kupokewa kwa mbwembwe kote nilidhania ilikuwa na mengine lakini siyo hii presentation yake. Hii ndio video ya Lipumba na Document nzima. Kazi kwenu mchambue pumba na mchele....Lipumba Amezungumzia History......sasa muone Watanzania walivyo tupu kichwani kwa kuzusha.
My Take mungu wa CCM-B alienda kumponda Nkapa na Kumwamgia mkuu wa CCM-A misifa. Sikiza
[video=vimeo;34781996]http://vimeo.com/34781996[/video]
Ukitaka Document Download hapa!
http://www.ned.org/docs/IbrahimLipumba.pdf
we kilaza kweli
ktk nyekundu hapo,hakutuma maombi kuhudhuria-bali hiyo ni kampuni inayo toa fellewship ktk issue zinazohusu maendeleo ya siasa,alichokifanya Pro Lipumba ni kutuma proposal na wakachaguliwa watu 20 nae akawa ni mmoja wa hao 20 ili sasa kuandaa mchakato mzima ambao wewe umeleta video yake
mimi mnaniuzi sana baadhi ya wana jf hasomi,nyie mnakutupuka tu
nakumbuka hata kuna post hapa ya kutaja watu watatu watakao ingizwa ktk tume ya mchakato wa kukusanya maoni ya katiba mpya,kuonyesha kuwa hamsomi mkakurupuka na kutaja hata wajumbe ambao sheria aliyosaini raisi haiwaruhusu kuwa wajumbe
jamani someni mtakuja kuwa viongozi na mtasaini mikataba feki kwa uvivu wa kusoma
Waandishi wetu sii wafuatiliaji wa mambo,wangeweza kumuuliza hili jana alipozungumza nao kisha wana CUF wangejua kuwa juzi wamepoteza muda wao na kujitesa bure juani
pumbavu huyu jamaa mwenye hiyo link ya ned tumempa jana tu na hajui lolote eti anakurupuka tangu amepata prize lipumba takriban mwezi hiyo link aliipost juss leo week ya nne. Mtakufa na roho mbaya lipumba anapendwa. Eti unatujulisha vitu vilivyo wazi mme hangaika ku google jana mpaka mnatuletea historia ya lipumba.
Kama kuna kitu Chadema hawakukitegemea ni mafanikio ya Lipumba na mapokezi makubwa watanzania waliympa! Wanatafuta kila source ili kukandia hawajapata! USHAURI: Kwa kuwa Lipumba alienda safari ya taaluma yake uchumi, bila shaka na Slaa hufanya safari za taaluma yake Upadri, mwandalie mapokezi akirudi VATICAN, tatizo liko wapi?
MKUU SI UNAWAJUA WALA HALWA NA WACHEZA BAO MISIKITINI WANAVYODANGANYANA???
UMESAHAU KUNA MWENZAO ALIKUWA ANAWAAMBIA KULIPA KODI YA VAT NI MATOKEO YA MFUMO KRISTO NA NENO VAT NI KIFUPISHO CHA VATICAN?? THEN WAKAWA WANASEMA Takbiiiiiiiiir --- Allahuwakbar
KWA KIFUPI HII JAMII YA WAFUASI WA CCM B ITAENDELEA KUCHELEWESHA SANA MAENDELEO YA TANZANIA COZ NI WATU WA KUDANGANYANA BILA KUULIZA WALA KUFANYA UTAFITI WOWOTE.
[WE KOMAA KABISI MDINI MKUBWA UNAEWAZA KWA MAKALIO, KTK HII THREAD HAKUNA NENO MSIKITI WALA KANISA SASA HAYO UNAYOYASEMA YANATOKA WAP?]
Kinachopingwa ni sababu inayotolewa na CUF ya kupewa hayo mapokezi.Umati wa wafuasi wa Chama cha Wananchi CUF hii leo umejitokeza kumpokea Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa IBRAHIM LIPUMBA aliyekuwa nchini Marekani kwa kazi maalum aliyopewa na Umoja wa Mataifa kwa lengo la kuangalia njia bora zinazoweza kutumika katika kurekebisha uchumi wa dunia uliporomoka hususani kwa mataifa yanayoendelea.
MKUU SI UNAWAJUA WALA HALWA NA WACHEZA BAO MISIKITINI WANAVYODANGANYANA???
UMESAHAU KUNA MWENZAO ALIKUWA ANAWAAMBIA KULIPA KODI YA VAT NI MATOKEO YA MFUMO KRISTO NA NENO VAT NI KIFUPISHO CHA VATICAN?? THEN WAKAWA WANASEMA Takbiiiiiiiiir --- Allahuwakbar
KWA KIFUPI HII JAMII YA WAFUASI WA CCM B ITAENDELEA KUCHELEWESHA SANA MAENDELEO YA TANZANIA COZ NI WATU WA KUDANGANYANA BILA KUULIZA WALA KUFANYA UTAFITI WOWOTE.
Kinachopingwa si umaarufu wa Prof. Lipumba, hapana Prof. Lipumba ni maarufu.
Kinachopingwa si usomi wa Prof. Lipumba, la hasha, usomi wa Prof. hauna shaka.
Kinachopingwa si tendo la kupokewa na CUF, hapana, wanampokea mwenyekiti wao.
Hebu tuangalie hii ripoti;
Kinachopingwa ni sababu inayotolewa na CUF ya kupewa hayo mapokezi.
Kinachopingwa ni uwongo unaotolewa na CUF kuhusu safari ya Prof. Lipumba.
Kinchopingwa ni sifa anayopewa Prof. Lipumba kuhusiana na safari yake hiyo.
Kwanza, hakuna kazi yoyote maalum aliyopewa na Umoja wa Mataifa, huu ni uongo wa kwanza.
Pili, safari yake nchini Marekani haukuwa na uhusiano wowote na uchumi wa dunia, uwongo wa pili.
Tatu, nini lengo la CUF kuudanganya Umma na inapata faida gani kwa kuwadanganya wafuasi wake?
Jibu la swali hili lipo wazi kwa yeyote mwenye mwenye pua anuse, mwenye sikio asikie na mwenye jicho aone!
Tukumbuke pia hata Raisi aliombwa na CUF akampokee shujaa huyu aliyeliletea taifa heshima kubwa!