Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,880
Habari!
Miaka nenda Miaka Rudi, nimekuwa nikisikia kila kitu Ni connection kuanzia Biashara ajira, Elimu yaani kila kitu kimekuwa ndani ya mikono ya connection!
Licha ya kutokuwa na connection
Kuna baadhi ya watu wananufaika na Fursa mbalimbali Kama bahati tu! (Uwezi kusema una bahati mpaka uipate) tuachane na bahati
Sasa Ndugu zangu, sisi watoto wa masikini ambao wazazi wetu Ni wakulima na wafugaji, Ambao hawana Nafasi Yoyote serikalini na hata kwenye mataasisi binafsi, mbaya Zaidi Hakuna hata Ndugu zetu wenye Nafasi kubwa serikali,
Macho ya yote ya familia yapo kwetu, na hatuna connection.
Hivyo Basi Kama mtu ana ABC za namna ya kupata connection ebu share jinsi ya kutengeneza Network na connection nzuri kabisa kwa ajili ya kujipatia Ajira
Karibuni
Miaka nenda Miaka Rudi, nimekuwa nikisikia kila kitu Ni connection kuanzia Biashara ajira, Elimu yaani kila kitu kimekuwa ndani ya mikono ya connection!
Licha ya kutokuwa na connection
Kuna baadhi ya watu wananufaika na Fursa mbalimbali Kama bahati tu! (Uwezi kusema una bahati mpaka uipate) tuachane na bahati
Sasa Ndugu zangu, sisi watoto wa masikini ambao wazazi wetu Ni wakulima na wafugaji, Ambao hawana Nafasi Yoyote serikalini na hata kwenye mataasisi binafsi, mbaya Zaidi Hakuna hata Ndugu zetu wenye Nafasi kubwa serikali,
Macho ya yote ya familia yapo kwetu, na hatuna connection.
Hivyo Basi Kama mtu ana ABC za namna ya kupata connection ebu share jinsi ya kutengeneza Network na connection nzuri kabisa kwa ajili ya kujipatia Ajira
Karibuni