Dada nadhani hujasoma hapo juu maelezo yangu yote. Yule anayemfuata binti na kumpiga ngwara atakuwa mbakaji kama wabakaji wengine.Ndugu yangu inaelekea wewe siyo msukuma na hujui kabisa chagulaga inavyofanyika. Kwa ufupi chagulaga inafanyika baada ya ngoma, ambapo vijana huwafukuzia mabinti na yule anayempata humwangusha kwa kumpiga ngwala na mambo mengine huendelea. Ndiyo maana chagulaga ni ukatiri wa wanawake na inapigwa vita kwa sasa.
Ndugu yangu inaelekea wewe siyo msukuma na hujui kabisa chagulaga inavyofanyika. Kwa ufupi chagulaga inafanyika baada ya ngoma, ambapo vijana huwafukuzia mabinti na yule anayempata humwangusha kwa kumpiga ngwala na mambo mengine huendelea. Ndiyo maana chagulaga ni ukatiri wa wanawake na inapigwa vita kwa sasa.
Bhebhe nkoyi lekaga ukubhalemba abhatamanile.
Uko sahihi kabisa. Je kuhusu Chagulaga vipi umewahi kuipitia? Chagulaga mayu, chagulaga shi nichagulage nene.kingine ilikuwa ni wazazi kuelewana na unaletewa mchumba home, awe kijana, awe wa makamo, awe mzee.
Mahari ikitolewa utaolewa uwe umeenda au hujapenda, ni LAZIMA.
Tena ukute ana ng'ombe wengi, bora ukubali mapema maana ni utapigwa hadi basi.
Kuna wengine ndoa zao zilidumu wengine zilifeli.
Bhebhe nkoyi lekaga ukubhalemba abhatamanile.