IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 3,491
- 4,539
wakuu naomba msaada wenu mtu anae chukua cbg anaweza kuwa pharmacist? au hata doctor?
wakuu naomba msaada wenu mtu anae chukua cbg anaweza kuwa pharmacist? au hata doctor?
Yes,anaweza kabisa, mimi nilisoma CBG MKWAWA HIGH SCHOOL,HIVI SASA NI MEDICAL DOCTOR NA NILISOMA MIAKA MI5 MUHAS.
Ivi uliwezaje kupata nafasi nakati mi kila nikiulizia na kuangalia Qualification zao naambiwa CBG MUHAS haiwezeka. Tufungue macho.