Ukweli Kuhusu Bunge Maalum la Katiba

Ukweli Kuhusu Bunge Maalum la Katiba

Gamba la Chuma

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2012
Posts
1,243
Reaction score
346
Ukweli ni kuwa kazi ya BMK ilikuwa ni kuangalia namna ya kutekeleza maoni ya Watanzania na sio kuyakataa au kuja na rasimu mpya za vyama au vikundi.

Vinginevyo kila chama au kikundi kingepewa kazi ya kukusanya maoni.

Na hakuna chombo duniani chenye uwezo wa kupinga maoni ya wananchi.

Wananchi wamesema wanataka serikali tatu, kazi ya BMK ni kuangalia namna bora ya kutekeleza hilo.

Hii ni kwa kila kamati ya BMK, maana nimeona kamati nyingi zinapinga maoni ya wananchi ikiwamo madaraka ya rais, tunu za taifa, nk
 
Hilo sio tena BMK huo ni mkutano fulani wa ccm wa kujadili mambo yao. Sisi wengine tulisha acha kufuatilia kwani ni kupotezeana muda tu.
 
..hilo sio bunge la katiba, bali ni genge la wachakachuaji na wapenda posho hata ziwe halali au haramu! Nilipomsikia sitta akihamasisha wajumbe walete mapendekezo ya sura mpya nikajua uchakachuaji ndo umeshika kasi. Pale dodoma kinachofanyika ni uhalifu kama ule wa Epa.
 
BMK ni wawkilishi wa wananchi. Wana uhuru wa kuongeza, kuondoa, kurekebisha au kukubalia kama kilivyo kifungu chochote cha rasimu ya Katiba. By the way hivi kwa nini mnang'ang'ania serikali 3 tu.
 
BMK ni wawkilishi wa wananchi. Wana uhuru wa kuongeza, kuondoa, kurekebisha au kukubalia kama kilivyo kifungu chochote cha rasimu ya Katiba. By the way hivi kwa nini mnang'ang'ania serikali 3 tu.


Mbona wewe unataka serikali 2 kwa nini?.
 
Khaa!! Mibongo mijinga sana kama kila siku unaiambia kuku hutoa maziwa baada ya muda huamini. Nani kasema yale ni maoni ya wananchi?? Watu elfu 17 kweli wawakilishe watu milion 48??? Hata namna walivyopata hao watu haijasemwa wazi. Na kwanini tatizo liwe kwenye mfmo wa serikali ambao hauna maslahi ya moja kwa moja kwa mwananchi?? Lakini mbona pia mwananchi ndiyo muamuzi wa mwisho tena kwa kura?? Duniani watu wanapigania kuungana sisi tunapigania kutengana. Ndiyo akili zetu
 
Wamefanya lini research ya kujua maoni ya wananchi kuhusu katiba?

BMK ni wawkilishi wa wananchi. Wana uhuru wa kuongeza, kuondoa, kurekebisha au kukubalia kama kilivyo kifungu chochote cha rasimu ya Katiba. By the way hivi kwa nini mnang'ang'ania serikali 3 tu.
 
BMK ni wawkilishi wa wananchi. Wana uhuru wa kuongeza, kuondoa, kurekebisha au kukubalia kama kilivyo kifungu chochote cha rasimu ya Katiba. By the way hivi kwa nini mnang'ang'ania serikali 3 tu.

Hivi mwakilishi anao uwezo wa kupinga maoni au matakwa ya anayemwakilisha? Hivi unapotumwa kuiwakilisha kampuni unayofanyia kazi,unaweza kupinga mapendekezo na maoni ya kampuni iliyokutuma? BMK HALINA UWEZO WA KUPINGA MAONI YA WANANCHI,KINACHOFANYIKA DODOMA NI UHARAMIA NA KUGAWANA POSHO TU
 
BMK ni wawkilishi wa wananchi. Wana uhuru wa kuongeza, kuondoa, kurekebisha au kukubalia kama kilivyo kifungu chochote cha rasimu ya Katiba. By the way hivi kwa nini mnang'ang'ania serikali 3 tu.

Kama ndio hivyo tume iliundwa ya nini? wanachotakiwa ni kuboresha rasimu sio kubadili, kuondoa au kuweka sura mpya. Kwa sasa kanuni zimebadilishwa kulipa uwezo bunge kuchakachua maoni ya wananchi, kuna watu wasio na uwezo wa kutafakari bado wanawataka ukawa warejee bungeni wakati kufanya hivyo kutahalalisha uharamia wa ccm ambao ni wengi, haiingiii akilini mtu mzima na....... zake anang'ang'ania ukawa warudi bungeni kweli? mnatumia faida ya watanzania ya kuwa na IQ ndogo kunufaika(anayebisha ndio matokeo ya hiyo hiyo IQ ndogo). sasa hivi vijana wanajadili ligi ya uingereza na mambo ya kijinga wanaacha kujadili katiba, vijana hawa hawajapenda hali hiyo, ni kutokanan na IQ kuwa ndogo wanapenda kuangalia vitendo zaidi hawashughulishi ubongo kutafakari mistari ya kwenye rasimu ya warioba. CHA MJINGA ULIWA NA MWELEVU
 
Ukweli ni kuwa kazi ya BMK ilikuwa ni kuangalia namna ya kutekeleza maoni ya Watanzania na sio kuyakataa au kuja na rasimu mpya za vyama au vikundi.

Vinginevyo kila chama au kikundi kingepewa kazi ya kukusanya maoni.

Na hakuna chombo duniani chenye uwezo wa kupinga maoni ya wananchi.

Wananchi wamesema wanataka serikali tatu, kazi ya BMK ni kuangalia namna bora ya kutekeleza hilo.

Hii ni kwa kila kamati ya BMK, maana nimeona kamati nyingi zinapinga maoni ya wananchi ikiwamo madaraka ya rais, tunu za taifa, nk

wananchi hi waliozungumzia muundo wa Muungano ni Asilimia 14%. Na huko Kwa hao waliongelea pia waligawanyika... Pili maoni ya Wananchi yalikuwa yadhibitishwe na mabaraza ya kata/wilaya lakini Tume iliyapuuza... So Tume inawezaje kulamisha maoni wakati Wananchi kupitia Kwa wawakilishi wao ngazi za chini walipuuzwa?
 
Khaa!! Mibongo mijinga sana kama kila siku unaiambia kuku hutoa maziwa baada ya muda huamini. Nani kasema yale ni maoni ya wananchi?? Watu elfu 17 kweli wawakilishe watu milion 48??? Hata namna walivyopata hao watu haijasemwa wazi. Na kwanini tatizo liwe kwenye mfmo wa serikali ambao hauna maslahi ya moja kwa moja kwa mwananchi?? Lakini mbona pia mwananchi ndiyo muamuzi wa mwisho tena kwa kura?? Duniani watu wanapigania kuungana sisi tunapigania kutengana. Ndiyo akili zetu

Wewe jinga kweli,kama watu elf 17,siyo mil 48,je hao walioko bungeni ndiyo mil48?mburura!
 
Khaa!! Mibongo mijinga sana kama kila siku unaiambia kuku hutoa maziwa baada ya muda huamini. Nani kasema yale ni maoni ya wananchi?? Watu elfu 17 kweli wawakilishe watu milion 48??? Hata namna walivyopata hao watu haijasemwa wazi. Na kwanini tatizo liwe kwenye mfmo wa serikali ambao hauna maslahi ya moja kwa moja kwa mwananchi?? Lakini mbona pia mwananchi ndiyo muamuzi wa mwisho tena kwa kura?? Duniani watu wanapigania kuungana sisi tunapigania kutengana. Ndiyo akili zetu

Ninakutafakari wewe ni mtu namna gain,naona ni kama unaupungufu wa akili kichwani au unafikiria kwa kutumia m..k.bora nikupuuze.
 
Khaa!! Mibongo mijinga sana kama kila siku unaiambia kuku hutoa maziwa baada ya muda huamini. Nani kasema yale ni maoni ya wananchi?? Watu elfu 17 kweli wawakilishe watu milion 48??? Hata namna walivyopata hao watu haijasemwa wazi. Na kwanini tatizo liwe kwenye mfmo wa serikali ambao hauna maslahi ya moja kwa moja kwa mwananchi?? Lakini mbona pia mwananchi ndiyo muamuzi wa mwisho tena kwa kura?? Duniani watu wanapigania kuungana sisi tunapigania kutengana. Ndiyo akili zetu

kama mlikuwa mnaamini hivyo tume ilizunguka ya kazi gani kukusanya maoni? Acha roho mbaya.
 
wananchi hi waliozungumzia muundo wa Muungano ni Asilimia 14%. Na huko Kwa hao waliongelea pia waligawanyika... Pili maoni ya Wananchi yalikuwa yadhibitishwe na mabaraza ya kata/wilaya lakini Tume iliyapuuza... So Tume inawezaje kulamisha maoni wakati Wananchi kupitia Kwa wawakilishi wao ngazi za chini walipuuzwa?

wakati wa mikutano ya tume wananchi walikuwa huru kutoa maoni, mabaraza ya kata uchaguzi ulisimamiwa kiustadi na tume ikagundua wajumbe waliochaguliwa walikuwa wa chama kimoja na yote waliyoyatoa walipangiwa ndo sababu ya tume kuyaacha.
 
Khaa!! Mibongo mijinga sana kama kila siku unaiambia kuku hutoa maziwa baada ya muda huamini. Nani kasema yale ni maoni ya wananchi?? Watu elfu 17 kweli wawakilishe watu milion 48??? Hata namna walivyopata hao watu haijasemwa wazi. Na kwanini tatizo liwe kwenye mfmo wa serikali ambao hauna maslahi ya moja kwa moja kwa mwananchi?? Lakini mbona pia mwananchi ndiyo muamuzi wa mwisho tena kwa kura?? Duniani watu wanapigania kuungana sisi tunapigania kutengana. Ndiyo akili zetu
Sasa hao wajumbe 621 ndiyo wanawakilisha mawazo ya wananchi milioni 48? Mbona Rais amepatikana kwa kura zisizozidi milioni 6 wakati waliojiandikisha walikuwa zaidi ya milioni 20 na wananchi tupo milioni hizo unazosema!
 
wakati wa mikutano ya tume wananchi walikuwa huru kutoa maoni, mabaraza ya kata uchaguzi ulisimamiwa kiustadi na tume ikagundua wajumbe waliochaguliwa walikuwa wa chama kimoja na yote waliyoyatoa walipangiwa ndo sababu ya tume kuyaacha.
Tume haikuwa na mamlaka ya kisheria kukataa hata waliokaririshwa; they said what they believed as hawakushikiwa mtutu wakati wanaingea. NB: walichaguliwa; Kwa sasa waBunge wa vyama mbalimbali mbona wanakuwa na misimamo? Tulitakiwa tusiwasikilize?
 
Wewe jinga kweli,kama watu elf 17,siyo mil 48,je hao walioko bungeni ndiyo mil48?mburura!
Khaa!! Kichwa chako kigumu sana. walimu wako walikuwa na kazi ya ziada kukuelewesha. Hao walioko bungeni hawana uwezo wa kupitisha Katiba. Ni sisi wananchi ndiyo waamuzi wa mwisho. Hili ndilo huelewi hata UKAWA hawaelewi :cool2:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom