Ukweli Kuhusu Babu Duni; Mgombea Makamu kupitia UKAWA

Ukweli Kuhusu Babu Duni; Mgombea Makamu kupitia UKAWA

Kumeletwa uzi humu ndani na mdau mmoja Mr Emmy kuwa Babu Duni kasusa kampeni za Ukawa... Ni wazi kila mtu anajua huo ni uongo wa kutupwa...

Pamoja na kujua kuwa ni uongo nimeona ulazima wa kuleta mafuriko na mvua yaliyoshushwa huko Busanda, Geita na Babu Duni

OCAMPO FOUR heshima kwako mkuu, maana umekata vilimi vya wazandiki. VIVA UKAWA, VIVA DUNI HAJI, VIVA LOWASA.
 
Mjela mjela huyo ndio babu duni kwa wasiomjua huyo amekaa sana jela kwa ajili ya siasa ya znz na ameshindwa kumzika mamaake kwani alikuwa ndani huku mjomba ake salmini amour ndie aliemfunga.
 
mkuu Bukanga sina cha kukulipa bali Mungu mwenyewe atakurudishia wema wako .
 
Mjela mjela huyo ndio babu duni kwa wasiomjua huyo amekaa sana jela kwa ajili ya siasa ya znz na ameshindwa kumzika mamaake kwani alikuwa ndani huku mjomba ake salmini amour ndie aliemfunga.
asante sana mkuu , Mungu ni mwema sana , huyo komando anaona basi !
 
mwaka huu hawa mafisi wakichomoka basi watakuwa na mungu wao kwa hali iliyopo mtaani na hamasa labda mwisho wa dunia ufike kabla ya tr 25 labda ndiyo ponepone ya ccm
 
asente sana geita apo nafurahi xana kuona wananchi wana imani na ukawa.
 
Eti kanda ya ziwa watampa kura magufuli sabb katokea huko.... thubutu yake... aliwaambia wananchi waweke kinyesi barabarani ili iwe lami, chato maji hamna wakati ni mita 500 tu toka ziwani....
 
Back
Top Bottom