Ukweli Kuhusu Babu Duni; Mgombea Makamu kupitia UKAWA

Ukweli Kuhusu Babu Duni; Mgombea Makamu kupitia UKAWA

Ocampo four

JF Senior Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
5,789
Reaction score
2,159
Kumeletwa uzi humu ndani na mdau mmoja Mr Emmy kuwa Babu Duni kasusa kampeni za Ukawa... Ni wazi kila mtu anajua huo ni uongo wa kutupwa...

Pamoja na kujua kuwa ni uongo nimeona ulazima wa kuleta mafuriko na mvua yaliyoshushwa huko Busanda, Geita na Babu Duni
 

Attachments

  • 1442515048505.jpg
    1442515048505.jpg
    51.9 KB · Views: 4,524
  • 1442515060456.jpg
    1442515060456.jpg
    55.7 KB · Views: 1,665
  • 1442515071206.jpg
    1442515071206.jpg
    46.6 KB · Views: 3,981
  • 1442515083946.jpg
    1442515083946.jpg
    47.6 KB · Views: 3,813
http://1.bp.blogspot.com/-CO8O7AZ9_...q0/nmC8dCBCmqc/s1600/duni+kuwasili+katolo.jpg
IMG_6082.JPG
Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Busanda mkoani Geita.​
IMG_6117.JPG
Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Busanda mkoani Geita.​
IMG_6273.JPG
Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Busanda mkoani Geita.​
umati.jpg
umati wa watu.

Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwasili katika mkutano wa kampeni katika jimbo la Busanda mkoani Geita leo. (Picha na Francis Dande)
Msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni ukiwasili katika kata ya Katolo wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo la Busanda mkoani Geita.
Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwapungia mkono wananchi waliofurika katika mkutano wa kampeni wa uliofanyika katika kata ya Katolo jimbo la Busanda mkoani Geita.
Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwapungia mkono wananchi waliofurika katika mkutano wa kampeni wa uliofanyika katika kata ya Katolo jimbo la Busanda mkoani Geita.
 
Hivi tunashindanisha sera au mafuriko kwasababu mafuriko wapo watu wa vyama tofauti jamani.
 
Ha! Ha! Haaaaa! Sio mchezo! Hiyo ndio kanda ya Ziwa baba! Watu wanajitambua kweli kweli. Hawadanganyiki kabisa.
 
Hivi tunashindanisha sera au mafuriko kwasababu mafuriko wapo watu wa vyama tofauti jamani.

OK. It's fine. Lakini kwanini magamba munatumia harama kuubwa kama vile kuchukua wasanii wenye majina makubwa na pia kusomba watu kutoka vijijini ili kutengeneza mafuriko?
 
Yani u makamu wa rais hata hafanani nao kabisa. ujumbe wa nyumba 10 anamfit vzr sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom