DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Nikutumie hela ya vocha ?Watu tunapishana ktk uelewa.so kikubwa endelea kushikilia imani yako. Hi ni thread 2
Nikutumie hela ya vocha ?Watu tunapishana ktk uelewa.so kikubwa endelea kushikilia imani yako. Hi ni thread 2
HapanaNikutumie hela ya vocha ?
Usiwe unakimbia kwenye hizo link.
Imenibidi nirudi nione wanajamvi wanasema nini. Nimesahau stress ballNI moja Kati ya changamoto.ila asante kwa kishiliki
Hapa nimecheka sanaaaaa.Mtoa mada kaelezea kila kitu,
mods wekeni huu uzi kwenye sticky threads,
Mapumziko yangu leo mazuri sana.Mkuu we we kweli hukupata divishen 5 kwenye mitihani yako ya o-level
We jamaa una kimada wa diamond platnums sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] pamoja na Maajibu uliyocharaza umepata wachangiaji 40+?Ahsante kwa ushauli
😂😂😂😂😂 we Kobe una nini lakiniMkuu bora ungetuma tu voice note kama kuandika ni mtihani.
Vipi ulipona UTI?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we Kobe una nini lakini
Ndio namalizia dose, vipi we ile kaswende?Vipi ulipona UTI?
Nashukuru nilitumia na miti shamba maana hali ilikuwa mbaya.Ndio namalizia dose, vipi we ile kaswende?
Pole sana.Nashukuru nilitumia na miti shamba maana hali ilikuwa mbaya.
Hali ilikuwa mbaya sana, siku nyingine tutumie kinga.Pole sana.
MALEKAN ni jina la kiume la kinyakyusaJamiiforums ni ya memba wa kaliba zote... Nimezingatia neno MALEKAN