Wakujilipua
JF-Expert Member
- May 5, 2018
- 1,587
- 1,393
- Thread starter
- #21
[emoji106][emoji106][emoji106]Mtoa mada kaelezea kila kitu,
mods wekeni huu uzi kwenye sticky threads,
[emoji106][emoji106][emoji106]Mtoa mada kaelezea kila kitu,
mods wekeni huu uzi kwenye sticky threads,
Watu tunapishana ktk uelewa.so kikubwa endelea kushikilia imani yako. Hi ni thread 2Kweli kizazi cha watu timamu kinazidi kupukutika.
Tuta KALIBIA kutoa maoni yetu.Yaaah Malekan, hiyo kata ni ya wapi?
Ni kweli USHAULI mzuriAhsante kwa ushauli
Masikia na macho yetu yana automated rejecting mechanism ya misamiati isiyo sahihiLakini ujumbe si umefika
Inasadikika kuwa Kuna eneo moja huko malekani linaitwa b 51.
Eneo hili limekuwa na ulinzi mkali Sana mpaka kufikia hatua ya watu kuhoji je eneo hili Lina nini haswa ndani yake?.ila watu wanahofu kuwa Kuna sili kubwa Sana oliyo jificha. Kwa kuwa na hofu kuwa jesh lol a anga I a marekani linafanya kazi na viumbe waitwao aliens.
Chanzo
Sasa kalibu utoe maoni
😀😀Nafikiri mweka mada ni alien mwenyewe maana si kwa kiswahili hicho
yah mkuu upo vizuri watu woote jf wangekuwa hivi ingekuwa poa saana. hata kupost mada unakua huru.Mkuu nakupa hongera sana kwa kufatilia mambo makubwa. Nilitaka nikukosoe kidogo ila nimegundua unapenda sana kusoma vitu vingi tofauti na jamii nyingi ila kuna utata wa kuwasilisha kwa maandishi.
Sasa jitahidi kitu kimoja, unaposoma uwe unakariri matumizi sahihi ya herufi R na L, utakuwa mzuri.
Inasadikika kuwa Kuna eneo moja huko malekani linaitwa b 51.
Eneo hili limekuwa na ulinzi mkali Sana mpaka kufikia hatua ya watu kuhoji je eneo hili Lina nini haswa ndani yake?.ila watu wanahofu kuwa Kuna sili kubwa Sana oliyo jificha. Kwa kuwa na hofu kuwa jesh lol a anga I a marekani linafanya kazi na viumbe waitwao aliens.
Chanzo
Sasa kalibu utoe maoni
Mkuu hiyo ni error ndogo tu. Hata mashine huwa zinakosea
AhsanteMkuu nakupa hongera sana kwa kufatilia mambo makubwa. Nilitaka nikukosoe kidogo ila nimegundua unapenda sana kusoma vitu vingi tofauti na jamii nyingi ila kuna utata wa kuwasilisha kwa maandishi.
Sasa jitahidi kitu kimoja, unaposoma uwe unakariri matumizi sahihi ya herufi R na L, utakuwa mzuri.
Tukutane jumapili kwa mch kakobeMtoa mada nadhani alikuwa anawaza upepo wa kisulisuli wakati anawasilisha mada.
Tukutane jumapili kwa mch kakobeMtoa mada nadhani alikuwa anawaza upepo wa kisulisuli wakati anawasilisha mada.