Juzi nilitembelea ofisi ya afisa elimu wa mkoa na kuhuliza lini ajira uwalimu ztatoka,alinijibu kuwa tutegemee mwezi wa kumi na moja au wa kumi na mbili mwanzoni ili watu waripoti mwakani mwezi wakwanza na akaniambia masomo yatakao pewa kipaumbele ni ya sayansi na mathematics na arts ni kiswahili na English ndo yenye upungufu
Uhakiki wanaanza necta then nacte lastly tcu. Halafu yataanza mashirikisho kama baraza la wafamasia, chama cha madaktari, wahasibu, maboharia na walimu ili wahakiki je ni kweli wale ni wanachama wao unaweza kuo aajira itakuwa may be july mwakani
Uhakiki wanaanza necta then nacte lastly tcu. Halafu yataanza mashirikisho kama baraza la wafamasia, chama cha madaktari, wahasibu, maboharia na walimu ili wahakiki je ni kweli wale ni wanachama wao unaweza kuo aajira itakuwa may be july mwakani
Ina maana wakuu ninyi katika kusoma soma kwenu hamkuwahi kukutana na neno "PLAN B"?
Kwani lazima uajiriwe na serikali? Tafuta kitu cha kifanya wakati ukivuta subira juu ya ajira mpya za serikali.Tatizo wengi wetu huwa viburi kwa tuliowaacha mtaani na sasa hatuna kazi na tunahitaji pesa ,kuwaomba tunashindwa na hapo ndipo malalamiko huanzia.
Dharau haipendezi jamani
Juzi nilitembelea ofisi ya afisa elimu wa mkoa na kuhuliza lini ajira uwalimu ztatoka,alinijibu kuwa tutegemee mwezi wa kumi na moja au wa kumi na mbili mwanzoni ili watu waripoti mwakani mwezi wakwanza na akaniambia masomo yatakao pewa kipaumbele ni ya sayansi na mathematics na arts ni kiswahili na English ndo yenye upungufu
Niliisha waeleza aliyezuia ajira mwenyewe alipiga pushups jukwaani ili kupata uongozi .......vipi nyie mpewe hiv hiv bila jasho.....mwaka huu hadi mumzidi pushups .....haya kazi kwenu....
Kwakweli hata mnaosubira kuajiriwa Kama KATIKA PITA PITA ZAKO ULIIBA CHETI SAHAU AJIRA WAZA KUFUNGWA AU KIMBIA HARAKA MAANA KUNA WATU WASHAANZA KUBAINIKA
Juzi nilitembelea ofisi ya afisa elimu wa mkoa na kuhuliza lini ajira uwalimu ztatoka,alinijibu kuwa tutegemee mwezi wa kumi na moja au wa kumi na mbili mwanzoni ili watu waripoti mwakani mwezi wakwanza na akaniambia masomo yatakao pewa kipaumbele ni ya sayansi na mathematics na arts ni kiswahili na English ndo yenye upungufu
Kiswahili na English????? Wewe mtoa mada unajifariji sana ww, je mtu akiwa history kiswahili, ama kiswahili Geo, ama History na english? Huyo afisa kakudanganya, huo utakuwa n upungufu ktk halimashauri yake.
Juzi nilitembelea ofisi ya afisa elimu wa mkoa na kuhuliza lini ajira uwalimu ztatoka,alinijibu kuwa tutegemee mwezi wa kumi na moja au wa kumi na mbili mwanzoni ili watu waripoti mwakani mwezi wakwanza na akaniambia masomo yatakao pewa kipaumbele ni ya sayansi na mathematics na arts ni kiswahili na English ndo yenye upungufu
Juzi nilitembelea ofisi ya afisa elimu wa mkoa na kuhuliza lini ajira uwalimu ztatoka,alinijibu kuwa tutegemee mwezi wa kumi na moja au wa kumi na mbili mwanzoni ili watu waripoti mwakani mwezi wakwanza na akaniambia masomo yatakao pewa kipaumbele ni ya sayansi na mathematics na arts ni kiswahili na English ndo yenye upungufu