Unajua ukweli ni uhalisia wa kitu,jambo fulani leo hii nashangaa sana Kwa nini tumekua na mitizamo tofauti juu ya jambo ambalo ni FACT wapo wanaotetea na ku decorate na cover-up ili kupindisha ukweli lakini UKWELI UPO na umebaki vilevile,wapo wanaotetea Kwa ujinga na maslahi yao binafsi lakini UKWELI upo dhabiti na hauwezi pindishwa na mtazamo wako au ushawishi ulionao.
Pia kuna watu wanakuambia kila mtu ana mtazamo wake but ukweli hauna tofauti Za kimtizamo au tofauti Za kiuelewa au tofauti Za kielimu Bali UKWELI upo stagnant ,ninachoomba wa Tanzania naelewa kwamba people don’t follow truth they follow strength lakini Kwa tulipofikia tunawajibu wa kuliponya taifa Kwa kuutafuta ukweli halisi na tuka solve matatizo yetu na kujenga taifa moja kuukataa ukweli ni sawa na kutuliza maumivu kwa panaldo bila kutibu ugonjwa,tutaficha ukweli lakini kila kitu chini ya jua kina matokeo yake na mwishowe UKWELI NDIO HUSHINDA .it’s dangerous speak truth when the government is wrong.
Pia kuna watu wanakuambia kila mtu ana mtazamo wake but ukweli hauna tofauti Za kimtizamo au tofauti Za kiuelewa au tofauti Za kielimu Bali UKWELI upo stagnant ,ninachoomba wa Tanzania naelewa kwamba people don’t follow truth they follow strength lakini Kwa tulipofikia tunawajibu wa kuliponya taifa Kwa kuutafuta ukweli halisi na tuka solve matatizo yetu na kujenga taifa moja kuukataa ukweli ni sawa na kutuliza maumivu kwa panaldo bila kutibu ugonjwa,tutaficha ukweli lakini kila kitu chini ya jua kina matokeo yake na mwishowe UKWELI NDIO HUSHINDA .it’s dangerous speak truth when the government is wrong.