Emmanuel nemes
JF-Expert Member
- Nov 20, 2016
- 891
- 652
Hivi karibuni limeibuka wimbi la watu wanaojiita wataalamu wanaotibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, na pia yameibuka madawa kadha wa kadha ambapo vijana wengi wameishia kutapeliwa.
kiujumla nguvu za kiume its all about your brain, yaani mfumo mzima wa akili kwa ujumla, cha muhim kama ww unasimamisha na unaejaculate basi kwa namna yoyote ile huwezi kujiita kuwa unaupungufu wa nguvu bali una psychology or HYPOTHALAMUS problem. Nitarudi tena kuelezea kwa kina mechanism ya kudeal nayo.
Nawasilisha.
kiujumla nguvu za kiume its all about your brain, yaani mfumo mzima wa akili kwa ujumla, cha muhim kama ww unasimamisha na unaejaculate basi kwa namna yoyote ile huwezi kujiita kuwa unaupungufu wa nguvu bali una psychology or HYPOTHALAMUS problem. Nitarudi tena kuelezea kwa kina mechanism ya kudeal nayo.
Nawasilisha.