Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Mkuu somo dogo la insha ya darasa la saba inakushinda?
Na huko Somalia unakozungumzia ni Arumeru au Somalia tunayoifahmu?
Ukiona fikra za uchambuzi zinakushinda ni vema ukatafuta pale panapo kutosha.
CCM kimeo hata propaganda zina vimeo,kila kitu mnaweka vihiyo. Sijui unauliza nini hapa ila nilikupa mfano wakuzibua hiyo akili.Nikakuambia barabara katk nchi hujengwa hata kama hakuna serikali kwa hiyo CCM wasidhani ni kitu cha kujivunia sana.Na katk ahayao majigambo wanashindana na nani aliyewahi shika nchi zaidi ya wao wenyewe,aliyewahishindwa fanya zaidi ya walichofanya?