popoo kuranyi
Member
- Nov 30, 2017
- 10
- 4
Jamaaaan mm nna mpenz wangu nampendaa sanaa na yeye naona ananipendaa lakini juzi nmeonana nae kanambiaa kitu kimeniuma sana kasema mpenzi kiukwel ulivokuwa mbali nlitembea na mwanaume alinilaghai nkampa penzi lakini nmejua udhaifu wangu na nakupendaa ww hata nlivofanya nae nlikuwaa nakuwaza ww naomba unisamehe sirudii tena na tulipangaa mangi kuhusu ananiomba msamaha kila siku et jamaaan nfanyaje nmsamehe au niende mbele????
