Ukute pole pole ndiye kigogo 2014. Nimewaza tu

Ukute pole pole ndiye kigogo 2014. Nimewaza tu

Kigogo umfahamu mpaka leo?

Kigogo ni account iliyoendeshwa na watu 3

Makamba, Nape na Ridhiwani Kikwete!!
January ndiye aliyefungua na kuendesha akaunti ya twitter ya Magufuli na hata akaunti ya Samia Suluhu. Mnapopewa pole au pongezi, basi meneja muandishi ni Januari

Yaani katika akaunti 8 tu ambazo akaunti ya Magufuli imezifollow, Makamba ni moja ya akaunti hizo akiwa mtu wa kawaida tu na zilizobaki ni akaunti za marais kina Museveni, Kagame, Obama nk

Kwa JPM alivyokuwa isingewezekana kumfollow Makamba au Obama.
 

Attachments

  • Screenshot_2025-09-03-12-22-39-240_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2025-09-03-12-22-39-240_com.twitter.android.jpg
    232.8 KB · Views: 13
Na kwenye akaunti ya Samia Suluhu, inayofuata akaunti 27, ndugu Makamba na Nape na Zitto Kabwe ndio watu wa kawaida (wasio viongozi) waliofuatwa. Sasa unaona kabisa SSH kama Rais angewafollow hao ili iwaje? Unapata majibu kuwa hao ndio waendeshaji wenyewe wa akaunti hizo😃😄
 
Na kwenye akaunti ya Samia Suluhu, inayofuata akaunti 27, ndugu Makamba na Nape na Zitto Kabwe ndio watu wa kawaida (wasio viongozi) waliofuatwa. Sasa unaona kabisa SSH kama Rais angewafollow hao ili iwaje? Unapata majibu kuwa hao ndio waendeshaji wenyewe wa akaunti hizo😃😄
Mbona hiyo AKAUNT inawapiga sana spana Nape na Makamba
 
Back
Top Bottom