Ukute pole pole ndiye kigogo 2014. Nimewaza tu

Ukute pole pole ndiye kigogo 2014. Nimewaza tu

Kigogo umfahamu mpaka leo?

Kigogo ni account iliyoendeshwa na watu 3

Makamba, Nape na Ridhiwani Kikwete!!
Sidhani, kwa mawazo yangu ni kuwa mmiliki ni yule mtu mzito ambaye watu wanaweka mabango toka Namanga mpaka arusha.
 
OKTOBA TUNATOKA KUMPIGIA KURA SAMIA
Mtatoka kupiga kura nyie vibaraka wa mafisadi mlio kubali kutumika ili wenzenu waendelee kulinda mali zao na kuzijenga familia zao wakati huo wewe unakula peke yako visent unavyo hongwa huku familia yako na ndugu zako wakitaabika. unawapigia debe wenzio ambao watoto wao wanaendesha magari ya BILION
 
Mtatoka kupiga kura nyie vibaraka wa mafisadi mlio kubali kutumika ili wenzenu waendelee kulinda mali zao na kuzijenga familia zao wakati huo wewe unakula peke yako visent unavyo hongwa huku familia yako na ndugu zako wakitaabika. unawapigia debe wenzio ambao watoto wao wanaendesha magari ya BILION
Saaaaafi sana mkuuu tungekua karibu ngekununulia pepsi kwa mangi hapa. Hawa mabumunda yana dhani yanatiki kuikomoa chadema ..? Wakati yana halalisha wezi wa rasilimali kuwa huru na kuzidi kuzikamua
 
Haha alifanyaje mkuu
Kuna post ilitumwa na mtu ikisema.... kwa mfano Zitto akienda CCM..., sasa aliyejibu alipaswa kuwa ZZK ila sasa ilijibu akaunti ya Kigogo ambaye aliandika, "Siwezi kuhamia CCM".. ilikuwa mida ya saa 11 asubuhi hivi, waliokuwepo online wakaanza kucheka, jamaa amesahau kuswitch account..dakika kama 10 hivi ile comment ya kigogo ikafutwa, tukajiongeza😀
 
Back
Top Bottom