B-2 STEALTH BOMBER
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 4,648
- 6,411
Wakuu leo nimewaza tu. Ukute kigogo ni huyu pole pole.
Uzi tayari
oktoba tunatoka
No reforms no election kataa wahuni
Uzi tayari
oktoba tunatoka
No reforms no election kataa wahuni
Kigogo 2024 ilikua project ya WanamtandaoWakuu leo nimewaza tu. Ukute kigogo ni huyu pole pole.
Uzi tayari
oktoba tunatoka
No reforms no election kataa wahuni
Ukimsikiliza Polepole utagundua Kigogo ni jk maana polepole anasema jamaa alikuwa anamhujumu yaani habari za serikalini zinamagwa ovyo ili magu aonekane hafai. Pia kumbuka ile ishu ya kuongeza muda wa kukaa madarakani jk alijaribu kumchonganisha na wananchi, pia kumbuka pale kwenye msiba wa magu jk alisema habari za kwamba magu kafa aliziona kwa bwana yule aka kigogo. Nadhani hata wakina Lisu hapa jk aliwatumia bila wao kujua hata muhusika wa shambulio la Lisu ipo namna jamaa alitoa ushahuri lengo ni magu aonekane hafai.Wakuu leo nimewaza tu. Ukute kigogo ni huyu pole pole.
Uzi tayari
oktoba tunatoka
No reforms no election kataa wahuni
Mbona angejulikana.. kigogo hayupo nchiniWakuu leo nimewaza tu. Ukute kigogo ni huyu pole pole.
Uzi tayari
oktoba tunatoka
No reforms no election kataa wahuni
Kigogo umfahamu mpaka leo?
Kigogo ni account iliyoendeshwa na watu 3
Makamba, Nape na Rithiwani Kikwete
Hatuwez jua mkuu wanawasha VPN hawaMbona angejulikana.. kigogo hayupo nchini
Sijaelewa kitu hata1:Kiingereza kingi_makamba
2😛ost za ambazo zina anza na maandiko ya dini_Nape
3:Mambo neutral_ Ridhiwani
Ooh kumbe kwa hiyo sasa hivi kwa maana wame palanganyika ina endeshwa na nani..?Kigogo umfahamu mpaka leo?
Kigogo ni account iliyoendeshwa na watu 3
Makamba, Nape na Ridhiwani Kikwete!!
Tuzidi kusaliView attachment 3458867 Watajitaja tu
Tuna toka kukataa wahuni. Tutaandamana kupinga huu ungeseOKTOBA TUNATOKA KUMPIGIA KURA SAMIA
Hapana pole pole hakuwa ana mhujumu mwamba bali alikua sehemu ya utemi wa mwambaKwa codes alizotoa HP hivi karibuni bila shaka ni yule aliyekuwa akihujumu moves za JPM
i don't mean HP ndio alikuwa akimuhujumu but yuleeeeeHapana pole pole hakuwa ana mhujumu mwamba bali alikua sehemu ya utemi wa mwamba