Habari zenu ndugu zangu wa Jamii forum, napenda kuwajulisha kuwa ukumbi wa ibada unahitajika DSM (Wa kukodishwa)
Kwa maeneo ya Kijitonyama,Mabibo, Kigogo, Boko-Bunju, Kongowe-Toangoma, n.k
Unaweza kuwa ukumbi au banda ambalo linaweza kukarabatiwa na ukafaa kwa ibaada. Karibuni
Simu:
0625568600