Habari wakuu,poleni kwa ukata,Na hongereni kwa sikukuu ya pasaka.
Wakuu mshahara wangu ni nusu kipenyo sasa nikaona nijiongeze kwa kulima bustani ya Nyanya.
Kwa wale wataalam Na wazoefu naomba ushauri ili uweze kuvuna Nyanya bora.njia za kufuata Na mambo ya kuzingatia toka kulima,hadi kuvuna.
Asanteni.