Ukraine yaishutumu Urusi kwa wizi wa nafaka

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Ukraine imeishutumu Urusi kwa kuiba Nafaka Nchini humo ikisema kitendo hicho kinaongeza tishio la hali ya Chakula Duniani. Wizara ya Mambo ya Nje imedai Urusi inaiba mazao kutoka kwa Wakulima katika eneo la Kherson

Sehemu ya Taarifa ya Wizara inasema, "Kupitia vitendo vyake haramu, Urusi haiibii Ukraine pekee bali hata watumiaji wa Nje ya Nchi. UN inakadiria takriban watu Bilioni 1.7 wanaweza kukabiliwa na Umasikini na Njaa kutokana na vita iliyoanzishwa na Urusi"

Hata hivyo, Msemaji wa Ikulu ya Urusi, Dmitry Peskov alipoulizwa kuhusu tuhuma za Ukraine alisema hawafahamu taarifa hizo zinatokea wapi

========

Ukraine accused Russia on Thursday of stealing grain in territory it has occupied, an act which it said increased the threat to global food security posed by disruptions to spring sowing and the blocking of Ukrainian ports during the war.

Asked about the allegations, the Kremlin said it had no information on the matter.

The Ukrainian Foreign Ministry said in a written statement that it "strongly condemns the criminal actions of the Russian Federation in the so-called expropriation of crops from farmers in the Kherson region" of southern Ukraine.

It gave no further details of the alleged theft of grain in the Kherson region, whose main city has been occupied by the Russian forces since the early days of the Russian invasion on Feb. 24.

"The looting of grain from the Kherson region, as well as the blocking of shipments from Ukrainian ports and the mining of shipping lanes, threaten the world's food security," it said.

"We demand that Russia stop the illegal theft of grain, unblock Ukrainian ports, restore freedom of navigation and allow the passage of merchant ships."

The Ukrainian Prosecutor General's office said in a separate statement that it had opened a criminal case into allegations that Russian soldiers, threatening violence, had on April 26 taken away 61 tonnes of wheat from an agricultural enterprise in the Zaporizhzhia region of southern Ukraine.

Reuters was unable immediately to verify the assertion.

Asked by Reuters if the Kremlin had any information about Ukraine's accusations, Kremlin spokesperson Dmitry Peskov said via the Telegram messaging app: "No. We do not know where this information comes from".

According to International Grains Council data, Ukraine was the world's fourth-largest grain exporter in the 2020/21 season, selling 44.7 million tonnes abroad. The volume of exports has fallen sharply since the Russian invasion.

"Through its illegal actions, Russia is robbing not only Ukraine but also consumers abroad. The United Nations estimates that about 1.7 billion people may face poverty and hunger due to food disruptions as a result of a full-scale war waged by Russia against Ukraine," the Ukrainian Foreign Ministry said.

Source: Reuters
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa Putin katika vita hii, hivi sasa Urusi inaiba nafaka za Ukraine na kuziuza.

Hii siyo picha nzuri kwa nchi inayojinasibu inakila kitu na inajitosheleza kuiba nafaka za nchi ndogo kama Ukraine ukilinganisha na uwezo wake. Tena inaiba Vitani.

_______________________________________

Ukraine inasema kwamba 'wezi wa Urusi' wanaiba nafaka yao na kuiuza ughaibuni

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Dmytro Kuleba, anadai kwamba "wezi wa Urusi" wanaiba nafaka ya Ukraine ili kuziuza nje ya nchi, akisema nafaka inapakiwa kwenye meli, ambazo zitapitia Bosphorus – mkondo mwembamba ambao unagawanya pande za Ulaya na bara Asia – ili kuuzwa nje ..

"Ninatoa wito kwa majimbo yote kuwa macho na kukataa mapendekezo yoyote kama hayo. Msinunue vilivyoibiwa. Msiwe washiriki wa uhalifu wa Urusi," Kuleba alisema kwenye Twitter.

BBC haijathibitisha madai hayo. Urusi mnamo Jumanne ilipuuza picha za "bandia" zinazoonyesha meli zikiwa zimejaa nafaka huko Crimea.

Wakati huohuo Rais wa Tume ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen, aliishutumu Urusi kwa kutumia chakula kama silaha katika vita vya Ukraine, akiongeza kuwa ilikuwa ikitwaa nafaka na kuzijaza katika meli kwenye maeneo inayoyadhibiti.

Alisema madhara tayari yanaonekana katika kuongezeka kwa bei ya chakula, mbolea na nishati duniani - na kusababisha mateso zaidi kwa wale wanaohitaji zaidi.


Chanzo BBC.
Screenshot_20220524-190427_1.jpg
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa Putin katika vita hii, hivi sasa Urusi inaiba nafaka za Ukraine na kuziuza.

Hii siyo picha nzuri kwa nchi inayojinasibu inakila kitu na inajitosheleza kuiba nafaka za nchi ndogo kama Ukraine ukilinganisha na uwezo wake. Tena inaiba Vitani.

_______________________________________

Ukraine inasema kwamba 'wezi wa Urusi' wanaiba nafaka yao na kuiuza ughaibuni

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Dmytro Kuleba, anadai kwamba "wezi wa Urusi" wanaiba nafaka ya Ukraine ili kuziuza nje ya nchi, akisema nafaka inapakiwa kwenye meli, ambazo zitapitia Bosphorus – mkondo mwembamba ambao unagawanya pande za Ulaya na bara Asia – ili kuuzwa nje ..

"Ninatoa wito kwa majimbo yote kuwa macho na kukataa mapendekezo yoyote kama hayo. Msinunue vilivyoibiwa. Msiwe washiriki wa uhalifu wa Urusi," Kuleba alisema kwenye Twitter.

BBC haijathibitisha madai hayo. Urusi mnamo Jumanne ilipuuza picha za "bandia" zinazoonyesha meli zikiwa zimejaa nafaka huko Crimea.

Wakati huohuo Rais wa Tume ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen, aliishutumu Urusi kwa kutumia chakula kama silaha katika vita vya Ukraine, akiongeza kuwa ilikuwa ikitwaa nafaka na kuzijaza katika meli kwenye maeneo inayoyadhibiti.

Alisema madhara tayari yanaonekana katika kuongezeka kwa bei ya chakula, mbolea na nishati duniani - na kusababisha mateso zaidi kwa wale wanaohitaji zaidi.


Chanzo BBC.
View attachment 2237156
Wanachukua au wanaiba


Nisawa tu kuchukua nafaka ni kama wanavyo chukua mateka wa vita
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa Putin katika vita hii, hivi sasa Urusi inaiba nafaka za Ukraine na kuziuza.

Hii siyo picha nzuri kwa nchi inayojinasibu inakila kitu na inajitosheleza kuiba nafaka za nchi ndogo kama Ukraine ukilinganisha na uwezo wake. Tena inaiba Vitani.

_______________________________________

Ukraine inasema kwamba 'wezi wa Urusi' wanaiba nafaka yao na kuiuza ughaibuni

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Dmytro Kuleba, anadai kwamba "wezi wa Urusi" wanaiba nafaka ya Ukraine ili kuziuza nje ya nchi, akisema nafaka inapakiwa kwenye meli, ambazo zitapitia Bosphorus – mkondo mwembamba ambao unagawanya pande za Ulaya na bara Asia – ili kuuzwa nje ..

"Ninatoa wito kwa majimbo yote kuwa macho na kukataa mapendekezo yoyote kama hayo. Msinunue vilivyoibiwa. Msiwe washiriki wa uhalifu wa Urusi," Kuleba alisema kwenye Twitter.

BBC haijathibitisha madai hayo. Urusi mnamo Jumanne ilipuuza picha za "bandia" zinazoonyesha meli zikiwa zimejaa nafaka huko Crimea.

Wakati huohuo Rais wa Tume ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen, aliishutumu Urusi kwa kutumia chakula kama silaha katika vita vya Ukraine, akiongeza kuwa ilikuwa ikitwaa nafaka na kuzijaza katika meli kwenye maeneo inayoyadhibiti.

Alisema madhara tayari yanaonekana katika kuongezeka kwa bei ya chakula, mbolea na nishati duniani - na kusababisha mateso zaidi kwa wale wanaohitaji zaidi.


Chanzo BBC.
View attachment 2237156
Eti chanzo.....BBC 😇😁😁
 
Back
Top Bottom