Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Mna fikiri Super Power Russia atayaachia maeneo aliyoteka ama hizo Himars za misaada ziyasaidia lolote? Niwasaidie Jambo hapa, Russia anaweza angamiza kabisa Ulaya.
Kiy vha
Rais wa Ukraine athibitisha wanajeshi wa Ukraine wachukua Kharkiv
May be in his wild dreams - ukimsikiliza Zelensky ni burudani tosha, sina shaka na ubwiaji wake wa unga unachangia katika njozi zake.