Ukraine: Michango ya vifaa vya kijeshi inadhoofisha Jeshi la Uingereza - Mkuu wa Jeshi

Putin kachoka sana kumbuka alianza na vifaru msururu toka gongo la mboto hadi posta sasa anaazima silaha iran lakini anakodi makundi ya Wagner na islamic state toka syria vijana wake 400 na wanajeshi wake wote wamefyekwa
Vile vifaru ni vya zamani sana tena inawezekana kabla hujazaliwa. Ilikuwa inatafutwa sehemu ya kwenda kuvidampu. Russia kama kaishiwa kwanini kila siku mnapeleka silaha Ukraine?? Kama Russia kaishiwa kwanini miji inazidi kwenda na maji?? Na hpo Russia hajaanza kutumia jeshi. Amewaachia mgambo na wafungwa mcheze nao kwanza
 
Putin anapata influence kubwa sana kwa sasa nje ya uwanja wa vita,,,, jinsi dunia inavyoichukulia urusi kwa sasa ni tofauti na mwanzo kabla ya hii vita,,,,,mrusi kawaonyesha mataifa mengi ambayo hayakua yanapenda kupelekeshwa na wamagharibi ,kwamba mambo yanaweza kwenda kwenye dunia hii bila hata hao wazungu,,,nchi zinazotaka kujiunga na BRICS kwa sasa zimeongezeka,,,,,,,sasa hivi hadi Saudi na waarabu wengine wanaweza kuwakoromea hao wamagharibi na hata mikwara yao haiwashtui,,,,,,huku Africa nchi nyingi zilizokua chini ya ufaransa zinaanza kuvutwa na influence ya mrusi ,huku mfaransa akipagawa anavyoona influence yake inashuka,,,,,haya mapambano ni zaidi ya hapo ukraine tu
Nani kakwambia, Nchi za Nato sasa zinaongezeka badala putin kutaka kuwagawanya, Japan, Finland, Ukraine etc wanaenda zao Nato full respect.

Nchi zinazounga mkono Urusi hazina influence yoyote kiuchumi duniani na hata hizo ulizotaja hazina hatua yoyote bila mgharibi, Marekani aliiteka dunia miaka mingi sana sasa anafaidi matunda yake, ukijaribu kutoka anakukatia mirija unajikuta huna nguvu ya kufanya, China, India wote wamejikuta kwenye mtego wameufyata,
 
Nani kakwambia, Nchi za Nato sasa zinaongezeka badala putin kutaka kuwagawanya, Japan, Finland, Ukraine etc wanaenda zao Nato full respect.

Nchi zinazounga mkono Urusi hazina influence yoyote kiuchumi duniani na hata hizo ulizotaja hazina hatua yoyote bila mgharibi, Marekani aliiteka dunia miaka mingi sana sasa anafaidi matunda yake, ukijaribu kutoka anakukatia mirija unajikuta huna nguvu ya kufanya, China, India wote wamejikuta kwenye mtego wameufyata,
Hao wote unaowasemea Japan na wenzie walikua tayari kwenye influence ya magharibi tokea muda tu hapo hakuna jipya,,,,,ishu kubwa ni OPEC ambayo ilikua inapelekeshwa na wamagharibi sahivi jamaa wanawachomolea wamagharibi kama malofa fulani tu ndo maana hata vikwazo vya magharibi vimeshindwa kuitikisa urusi zaidi ya wao wenyewe kuumiza raia wao,,, Mali mfaransa anakimbizwa , Mturuki zimeanza kuiva na Syria sababu ya mrusi,,,,,,,wamagharibi wanatapatapa kwa sasa kwenye kile kilichobakia ambacho muda si mrefu watapokonywa ndo maana kila siku wanahaha na vikwazo kwa nchi wanazoona mbeleni zitawatimulia vumbi,,,,,,mchina anafungua nchi,, ana vyanzo vingi vya uzalishaji ambavyo ni vya gharama nafuu kabisa kuliko huo ulimwengu wa wamagharibi, mchina sio lazima apigane na Taiwan kuonyesha umwamba wake, mazingira ya sasa baina ya mrusi na wamagharibi yanamtosha kabisa kucheza kete zake
 
Nani kakwambia, Nchi za Nato sasa zinaongezeka badala putin kutaka kuwagawanya, Japan, Finland, Ukraine etc wanaenda zao Nato full respect.

Nchi zinazounga mkono Urusi hazina influence yoyote kiuchumi duniani na hata hizo ulizotaja hazina hatua yoyote bila mgharibi, Marekani aliiteka dunia miaka mingi sana sasa anafaidi matunda yake, ukijaribu kutoka anakukatia mirija unajikuta huna nguvu ya kufanya, China, India wote wamejikuta kwenye mtego wameufyata,
Japan inatapatapa sana maana ni atari kwenda mbele kwani dawa yake ipo tayari. KIDUKU.
 
Vile vifaru ni vya zamani sana tena inawezekana kabla hujazaliwa. Ilikuwa inatafutwa sehemu ya kwenda kuvidampu. Russia kama kaishiwa kwanini kila siku mnapeleka silaha Ukraine?? Kama Russia kaishiwa kwanini miji inazidi kwenda na maji?? Na hpo Russia hajaanza kutumia jeshi. Amewaachia mgambo na wafungwa mcheze nao kwanza
Wewe uko gongo la mboto hujuwi wala hutaki kujua kinachotokea ,Jiulize putin alitangaza ataisambaratisha Ukrane kwa saa 72 lakini akasema miezi 6 sasa ni muda gani? miji aliyochukua putin na kuipigia kura tayari jimbo la Kherson lipo chini ya Ukraine na putin hajasubutu kuliteka tena, Kharkiv, miji ya Lyman nk. hakuna mji Ukraine walioweka kuurejesha putin akachukua tena.

Aliingia kwa mavamba akaivamia Kyiv sasa adabu yake kapoteza wanajeshi wake kama kumbi kumbi, urusi hana tena jeshi, baada ya kuuliwa wanajeshi wake amesajili wafungwa waende vitan na vijana kuanzia umri wa 18, lakini ona sasa amekodi Wagner group toka Syrina na Islamic state, silaha anatumia kutoka Iran Kamikaze kila siku zinaangushwa, juzi vijana wake wakipewa mafunzo kwenye kambi Donetisk 400 wamefyekwa
 
Wewe uko gongo la mboto hujuwi wala hutaki kujua kinachotokea ,Jiulize putin alitangaza ataisambaratisha Ukrane kwa saa 72 lakini akasema miezi 6 sasa ni muda gani? miji aliyochukua putin na kuipigia kura tayari jimbo la Kherson lipo chini ya Ukraine na putin hajasubutu kuliteka tena, Kharkiv, miji ya Lyman nk. hakuna mji Ukraine walioweka kuurejesha putin akachukua tena.

Aliingia kwa mavamba akaivamia Kyiv sasa adabu yake kapoteza wanajeshi wake kama kumbi kumbi, urusi hana tena jeshi, baada ya kuuliwa wanajeshi wake amesajili wafungwa waende vitan na vijana kuanzia umri wa 18, lakini ona sasa amekodi Wagner group toka Syrina na Islamic state, silaha anatumia kutoka Iran Kamikaze kila siku zinaangushwa, juzi vijana wake wakipewa mafunzo kwenye kambi Donetisk 400 wamefyekwa
Nasikia jeshi la Ukraine limeishia ng'ambo ya pili hapo kherson, wameogopa kuvuka mto. Wameichukua kherson kiduchu sana wameshitukia mtego🤣🤣🤣🤣 wapi Putini alisema ataichukua Ukraine ndani ya masaa matatu?? NATO msingeingilia ili muone kama Putin angishindwa kuichukua ktk hayo masaa matatu mliokalilishwa
 
Nasikia jeshi la Ukraine limeishia ng'ambo ya pili hapo kherson, wameogopa kuvuka mto. Wameichukua kherson kiduchu sana wameshitukia mtego🤣🤣🤣🤣 wapi Putini alisema ataichukua Ukraine ndani ya masaa matatu?? NATO msingeingilia ili muone kama Putin angishindwa kuichukua ktk hayo masaa matatu mliokalilishwa
Wanajeshi wa ukraine wapo US wanapata mafunzo ya kutumia Patriots kwa muda hivi, nadhan wakianza kutumia huo mzigo wa Patriots biashara ya putin kukodi silaha itakuwa imemaliza kabisa kabisa na atatanga hali ya hatari Moscow
 
Wanajeshi wa ukraine wapo US wanapata mafunzo ya kutumia Patriots kwa muda hivi, nadhan wakianza kutumia huo mzigo wa Patriots biashara ya putin kukodi silaha itakuwa imemaliza kabisa kabisa na atatanga hali ya hatari Moscow
Kila mnapopewa silaha mnasema hivyo hivyo ndio maana tumewazalau sana NATO, tumewaachia wafungwa na mgambo mcheze nao maana ndio saizi yenu.
 
Hao wote unaowasemea Japan na wenzie walikua tayari kwenye influence ya magharibi tokea muda tu hapo hakuna jipya,,,,,ishu kubwa ni OPEC ambayo ilikua inapelekeshwa na wamagharibi sahivi jamaa wanawachomolea wamagharibi kama malofa fulani tu ndo maana hata vikwazo vya magharibi vimeshindwa kuitikisa urusi zaidi ya wao wenyewe kuumiza raia wao,,, Mali mfaransa anakimbizwa , Mturuki zimeanza kuiva na Syria sababu ya mrusi,,,,,,,wamagharibi wanatapatapa kwa sasa kwenye kile kilichobakia ambacho muda si mrefu watapokonywa ndo maana kila siku wanahaha na vikwazo kwa nchi wanazoona mbeleni zitawatimulia vumbi,,,,,,mchina anafungua nchi,, ana vyanzo vingi vya uzalishaji ambavyo ni vya gharama nafuu kabisa kuliko huo ulimwengu wa wamagharibi, mchina sio lazima apigane na Taiwan kuonyesha umwamba wake, mazingira ya sasa baina ya mrusi na wamagharibi yanamtosha kabisa kucheza kete zake
OPEC haijawahi pelekeshwa na Mtu,wakati wa Yom Kippur war OPEC waliipiga Marekani vikwazo vya kutoiuzia mafuta kisa kuiunga mkono Israel kijeshi ambapo ilipelekea Bei ya Mafuta kupanda mara nne zaidi ndani ya Marekani lakini hii haikuifanya Marekani kubadili msimamo wake wa kutoiunga mkono Israel,baadae hao OPEC baada ya kuona vikwazo vyao havifanyi kazi wakaamua kuachana navyo.
 
OPEC haijawahi pelekeshwa na Mtu,wakati wa Yom Kippur war OPEC waliipiga Marekani vikwazo vya kutoiuzia mafuta kisa kuiunga mkono Israel kijeshi ambapo ilipelekea Bei ya Mafuta kupanda mara nne zaidi ndani ya Marekani lakini hii haikuifanya Marekani kubadili msimamo wake wa kutoiunga mkono Israel,baadae hao OPEC baada ya kuona vikwazo vyao havifanyi kazi wakaamua kuachana navyo.
Na huyu member wa NATO vipi
Screenshot_20230117-162828_RT News.jpg
 
Back
Top Bottom