Gia kubwa
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 470
- 495
Jana Katibu Mkuu wetu alizungumzia sana ukomo wa Urais ila akapitia kwa mbaaali kuzungumzia ukomo wa wabunge ila vijana tuliinasa nikajiuliza hivi kwanini?
1. hakuna ukomo wa ubunge na kuna video clips na picha za wabunge wazee kulala hadi kukoroma bungeni, wengine hawana maajabu wapo wapo tu bungeni hawaongei chochote tangu bunge linaanza hadi linavunjwa hawana cha kuchangia kujenga taifa zaidi ya kuleta mawazo ya kizamani tu!! kwanza wabunge wazee ni mzigo kwa walipakodi, ni watu waliochoka ambao kazi yao kubwa bungeni ni kupasha viti joto tu! ni watu wanahitajika sana kurudi kijijini kucheza na wajukuu,
2. kuna wabunge wazee wanaumwa for five years tangu bunge linaanza hadi linavunjwa ! na wanalipwa kodi za wanyonge tu , halafu kwanza wabunge hawa wazee kina Chenga, Mkono nk ni mzigo kwa kodi za walalahoi bajeti ya matibabu yao nje ya nchi ni kubwa mno wanatibiwa nje bila ulazima wowote watu wenyewe wamejiishia wanaacha Mloganzila ipo for them. Mh Rais huku bungeni kuna hela nyingi ya kuokoa kulipa vibarua wa SGR wabunge wote watibiwe nchini mbona sisi raia wanyonge tunaokupigia kura za kishindo tunatibiwa nchini na hatufi kwa corona na malaria na kuharisha?
3. kuna wabunge watoro bungeni tangu bunge linaanza hadi linavunjwa hawapo bungeni wako na mishe zingine tu za kujiongezea kipato na kule wanalipwa kodi za wanyonge wapi Dr Bashiru unajua hili? Mh Rais hapa ukipewa list na kuwakata wabunge watoro mishahara utapata pesa ya ndani kulipia vibarua wa kujenga Stieglers Gorge dam!! kupanga ni kuchagua!!
4. kuna wabunge wengi hawana sifa za kitaaluma za kuweza kufanya kazi za kibunge, wana elimu ndogo na uwezo mdogo wa kiakili hawawezi kuchambua complex issues kama ripoti ya CAG, bajeti za wizara, ripoti za kamati kama PAC nk nao kazi kubwa wanaropoka kukashifu wenzao , kupiga vijembe na kuleta mipasho tu bungeni na kupiga meza na kuibua mijadala isiyo na tija kwa nchi hii maana they cannot reason!!
5. kwanini sifa ya mbunge iwe kujua kusoma tu na kuandika wakati majukumu ya mbunge tukisimama kwenye ukweli yanahitaji Graduate? mf sheria nyingi ziko kwa kiingereza ndo zinakaa vyema na wabunge hawa vilaza kwanini sasa wawepo jumba linahitaji wasomi?? huwa najiuliza ni mjinga gani aliweka kipengele hiki? kwa mantiki gani? kwa maslahi ya nani?
6. Je mchakato gani utumike kuweka ukomo huu haraka? kwanini Rais tumuwekee kikomo halafu tukubali wabunge wasiwekewe kikomo? nilijiuliza kwanini sisi watu weusi ni watu wajinga na sera zetu nyingi za utawala zinaonesha ujinga wetu na hatukemei?
7. nilijiuliza kwanini kusiwe na ukomo wa umri wa mbunge ili kuwaengua wazee zaidi waliochoka, mfano mbunge awe na miaka 30 hadi miaka 60 na si zaidi ili kupata watu wanaowaza kujenga nchi na si kujilimbikizia mali na kusubiri kufa vifo vya ghafla vinavyotokana na moyo kushindwa kusukuma damu ya mwili wenye tumbo kubwa lililojaa mafuta ya kodi za wanyonge!!
Naomba Dr Bashiru simamia hili ukomo wa ubunge uwe ten years only and Allah will bless you! Kumbuka kila mtu ni mchunga na ataulizwa kwa alichokichunga wabunge wazee wa chama chako wanalibiia taifa nawewe ni mtendaji mkuu msaidizi!!usikubali!!
Kuna wabunge wazee wengi wameiba vya kutosha pesa ya umma kwa miaka mingi na wamejimilikisha ubunge kwenye majimbo yao kwa kutumia pesa na majina yao (influence) na hawaleti maendeleo yoyote majimboni kwao!!
Jana nilikusikiliza vizuri kwenye mdahalo wako na Tido mwanzo mwisho nikakuona ni Kondoo umevaa ngozi ya Chui, wewe Dr Bashiru ni Mzalendo wa kweli kama Mh Magufuli nanyi mmejificha ndani ya genge bovu la wasafi na wengine Manyang’au!!
1. hakuna ukomo wa ubunge na kuna video clips na picha za wabunge wazee kulala hadi kukoroma bungeni, wengine hawana maajabu wapo wapo tu bungeni hawaongei chochote tangu bunge linaanza hadi linavunjwa hawana cha kuchangia kujenga taifa zaidi ya kuleta mawazo ya kizamani tu!! kwanza wabunge wazee ni mzigo kwa walipakodi, ni watu waliochoka ambao kazi yao kubwa bungeni ni kupasha viti joto tu! ni watu wanahitajika sana kurudi kijijini kucheza na wajukuu,
2. kuna wabunge wazee wanaumwa for five years tangu bunge linaanza hadi linavunjwa ! na wanalipwa kodi za wanyonge tu , halafu kwanza wabunge hawa wazee kina Chenga, Mkono nk ni mzigo kwa kodi za walalahoi bajeti ya matibabu yao nje ya nchi ni kubwa mno wanatibiwa nje bila ulazima wowote watu wenyewe wamejiishia wanaacha Mloganzila ipo for them. Mh Rais huku bungeni kuna hela nyingi ya kuokoa kulipa vibarua wa SGR wabunge wote watibiwe nchini mbona sisi raia wanyonge tunaokupigia kura za kishindo tunatibiwa nchini na hatufi kwa corona na malaria na kuharisha?
3. kuna wabunge watoro bungeni tangu bunge linaanza hadi linavunjwa hawapo bungeni wako na mishe zingine tu za kujiongezea kipato na kule wanalipwa kodi za wanyonge wapi Dr Bashiru unajua hili? Mh Rais hapa ukipewa list na kuwakata wabunge watoro mishahara utapata pesa ya ndani kulipia vibarua wa kujenga Stieglers Gorge dam!! kupanga ni kuchagua!!
4. kuna wabunge wengi hawana sifa za kitaaluma za kuweza kufanya kazi za kibunge, wana elimu ndogo na uwezo mdogo wa kiakili hawawezi kuchambua complex issues kama ripoti ya CAG, bajeti za wizara, ripoti za kamati kama PAC nk nao kazi kubwa wanaropoka kukashifu wenzao , kupiga vijembe na kuleta mipasho tu bungeni na kupiga meza na kuibua mijadala isiyo na tija kwa nchi hii maana they cannot reason!!
5. kwanini sifa ya mbunge iwe kujua kusoma tu na kuandika wakati majukumu ya mbunge tukisimama kwenye ukweli yanahitaji Graduate? mf sheria nyingi ziko kwa kiingereza ndo zinakaa vyema na wabunge hawa vilaza kwanini sasa wawepo jumba linahitaji wasomi?? huwa najiuliza ni mjinga gani aliweka kipengele hiki? kwa mantiki gani? kwa maslahi ya nani?
6. Je mchakato gani utumike kuweka ukomo huu haraka? kwanini Rais tumuwekee kikomo halafu tukubali wabunge wasiwekewe kikomo? nilijiuliza kwanini sisi watu weusi ni watu wajinga na sera zetu nyingi za utawala zinaonesha ujinga wetu na hatukemei?
7. nilijiuliza kwanini kusiwe na ukomo wa umri wa mbunge ili kuwaengua wazee zaidi waliochoka, mfano mbunge awe na miaka 30 hadi miaka 60 na si zaidi ili kupata watu wanaowaza kujenga nchi na si kujilimbikizia mali na kusubiri kufa vifo vya ghafla vinavyotokana na moyo kushindwa kusukuma damu ya mwili wenye tumbo kubwa lililojaa mafuta ya kodi za wanyonge!!
Naomba Dr Bashiru simamia hili ukomo wa ubunge uwe ten years only and Allah will bless you! Kumbuka kila mtu ni mchunga na ataulizwa kwa alichokichunga wabunge wazee wa chama chako wanalibiia taifa nawewe ni mtendaji mkuu msaidizi!!usikubali!!
Kuna wabunge wazee wengi wameiba vya kutosha pesa ya umma kwa miaka mingi na wamejimilikisha ubunge kwenye majimbo yao kwa kutumia pesa na majina yao (influence) na hawaleti maendeleo yoyote majimboni kwao!!
Jana nilikusikiliza vizuri kwenye mdahalo wako na Tido mwanzo mwisho nikakuona ni Kondoo umevaa ngozi ya Chui, wewe Dr Bashiru ni Mzalendo wa kweli kama Mh Magufuli nanyi mmejificha ndani ya genge bovu la wasafi na wengine Manyang’au!!