Ukombozi wa Taifa hili utaanzia Mbeya

Hiyo breach of contract kwa hapa Tanzania haitakuwepo, yapo mazingira ya kimkataba ya kuikwepa.
 
Aibu
 


Mkoa mzima walipelekewa Vijana wa JKT ITENDE hapo, kichapo kidogo wakapanga foleni kumpokea KIKWETE.
 
Mkuu unakula mihogo iliyochacha ndo maana unaakili Kama libumunda
Huwaona waliokula mihogo iliochacha...! Kiongozi wa Ccm anashindwa kutetea hoja ya DP na kuanza kusema package ya DP ina mabikira wa kiarabu.....tunataka wanawake wa Kiarabu.......Kama umeshindwa kuona hilo inasikitisha sana....!
 
Huwaona waliokula mihogo iliochacha...! Kiongozi wa Ccm anashindwa kutetea hoja ya DP na kuanza kusema package ya DP ina mabikira wa kiarabu.....tunataka wanawake wa Kiarabu.......Kama umeshindwa kuona hilo inasikitisha sana....!
Watanzania hatuna shida na videmu vya kiarabu mbona kuna madada zetu wako bomba .shida hatutaki bandari zetu zichukuliwe jumla na hao wamanga huo ni ukoloni mamboleo
 
Naunga mkono hoja. Mbeya ni ya kijani, kijani ndio uhai wa nchi.

Kesho tunasimama na Mwabukusi, njooni mtumalize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…