Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
hakuna ulicho kiandika.....Soma uelewe usikurupuke
hakuna ulicho kiandika.....Soma uelewe usikurupuke
Mkuu mbona unampa mwenzio kubwa hivyo? Amekukosea nini?Soma uelewe usikurupuke
Bavicha at work!!Maamuzi yake na watendaji wake wote katika wizara inayosimamia huduma za elimu nchini ndiyo majibu ya kidato cha NNE ya sasa.Hali si nzuri kabisa tofauti na miaka ya nyuma, walimu hawana ari na kazi, wanaingia darasani ili kuonekana wako makazini tu.
Wengine tulisema kuongoza Wizara ya elimu ni tofauti na kuongoza kitaasisi kidogo kama NECTA ambacho kipo chini ya wizara hiyo.
Hili suala la elimu linahitaji mijadala wa kitaifa kwa maneno ya Mh James Mbatia na sio kuamua haraka haraka tu bila kushirikisha wadau husika kwa kuhisi kua mtangulizi wako aliharibu hapo awali. Tukiendelea hivi baada ya miaka kadhaa tutakua na wasomi wachache nchi ambao kwa kiasi kikubwa ni matokeo ya awamu ya NNE ambayo ilionekana kubadili hali ya elimu nchini, ni kwamba tunarudi hatua nyingi nyuma kwa maneno ya mzee Jenerali Ulimwengu.
Wewe siwezi kukujibu maana unatsnguliza mhemko kwenye mambo ya msingi, Kama hujui ni vipi waziri Ndalichako ana effect gani kwenye hili la matokeo basi una kiwango cha hali ya chini kabisa cha kufikiria. Fuatilia athari za mabadiliko ya sekta ya elimu tokea mwaka jana.Walimu hawako motivated kabisa, wazazi kwa sasa ndio wenye sauti kuliko walimu, kuna upungufu Mkubwa wa walimu lakini tunaambiwa kua uhakiki unaendelea.Ww mleta mada ni wa kupuuzwa pamoja na mada yako. Huyu waziri ulitaka awe amefanya kitu gani ktk elimu kwa kipindi hiki kifupi?
kama una viroba kichwani kaoge ama kanywe maji ya baridi. elimu siyo kigodoro ama mnanda ama ndoa ya mkeka uliyofungishwa, ni mchakato. huyu waziri matunda yake mengi ya kimfumo yataanza kuonekana baada ya miaka 2.
kwa sasa waziri kadhibiti udanganyifu ktk mitihani wa baadhi ya shule, ndiyo maana kuna nyingi huzioni tena kwenye kumi bora.
apongezwe waziri kwa kudhibiti udanganyifu
Usitegemee maendeleo kwenye taifa lako kama unatengeneza wasomi wachacheNi nani aliyeturoga? Kila kukicha afadhali ya jana duh! Ila hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho..yangu mie macho tu..wamevurunda katika afya, elimu, utawala bora na mengine mengi tu! Mungu naomba unipe uvumilivu tu!
Mkuu nakubaliana na wewe 100 percent.Sioni mkakati wowote wa kututoa out of this mess we are in. Ninacho-ona ni kudokoa tu matatizo hapa na pale na kuyapatia ufumbuzi.Elimu yetu inahitaji "Marshall Plan," sio udokozi wa hapa na pale,hali sio shwari kabisa.Umesema kweli Mkuu.
Ni aibu kwa Wizara ya Elimu yote na hasa Waziri ambae pale mwanzoni alikuwa anaongea sana kwa namna ya kubeza yaliyofanywa na watangulizi wake.
Sioni mikakati yoyote ya kututoa hapa elimu yetu hasa ya sekondari ilipofikia.
Mnaweza kubakia kusema Elimu Bure tu lakini haina ubora wowote.
Maamuzi yake na watendaji wake wote katika wizara inayosimamia huduma za elimu nchini ndiyo majibu ya kidato cha NNE ya sasa.Hali si nzuri kabisa tofauti na miaka ya nyuma, walimu hawana ari na kazi, wanaingia darasani ili kuonekana wako makazini tu.
Wengine tulisema kuongoza Wizara ya elimu ni tofauti na kuongoza kitaasisi kidogo kama NECTA ambacho kipo chini ya wizara hiyo.
Hili suala la elimu linahitaji mijadala wa kitaifa kwa maneno ya Mh James Mbatia na sio kuamua haraka haraka tu bila kushirikisha wadau husika kwa kuhisi kua mtangulizi wako aliharibu hapo awali. Tukiendelea hivi baada ya miaka kadhaa tutakua na wasomi wachache nchi ambao kwa kiasi kikubwa ni matokeo ya awamu ya NNE ambayo ilionekana kubadili hali ya elimu nchini, ni kwamba tunarudi hatua nyingi nyuma kwa maneno ya mzee Jenerali Ulimwengu.
Mkuu Asante sana kwa kutumia maneno muafaka haswa... MARSHAL PLAN.. That's what is needed.Mkuu nakubaliana na wewe 100 percent.Sioni mkakati wowote wa kututoa out of this mess we are in. Ninacho-ona ni kudokoa tu matatizo hapa na pale na kuyapatia ufumbuzi.Elimu inahitaji "Marshall Plan,"hali sio shwari kabisa.