Uko wapi uhalali wa posho ya kukaa wanayolipwa wabunge ?

Jef Kirhiku

Member
Dec 10, 2016
39
76
Licha ya hatua kadhaa za Serikali kufuta posho na marupurupu mbalimbali kwa watumishi wa umma bado imeendelea kulipa wabunge na wanasiasa wengine posho za ajabu ajabu ikiwemo ile ya kukaa ?

Uko wapi uhalali wa kuwalipa wanasiasa posho lukuki huku wakiwa na mishahara minono ukilinganisha na ile ya watumishi wa umma ?

Ndo kusema watumishi wa umma nao waache kazi na kukimbilia kwenye siasa ?
 
Wabunge ataendelea kuwalipa ili wasisumbue na vijisenti vya milioni kumi kumi kwa wabunge wa chama kitukufu cha walaji.
 
Watumishi watajilipa wenyewe kwenye maeneo yao kama walivyoanza kufanya polisi na trafic maana hakuna namna, kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake
 
Kamaa waliweza kuwalipa 10m kila mbunge wa CCM ili kupitisha sheria ya habari na wakawaambia wananchi ni fedha zao usitegemee hao hao kutoa posho za vikao kwa wabunge. Itawatumia wabunge hao hao wa kijani kifanya mambo yao haramu
 
Back
Top Bottom