Uko wapi Udikteta wa Rais Magufuli?

Yaani umesema sahihi jkabisa. CHADEMA hawaelewiki wanachokitaka. Tumepata mkombozi wa wananchi. Hatudanganyiki na mafisadi wachache!
 
Mr Mpendazoe, tatizo siyo hilo bali tatizo ni Magufuli kuendesha nchi kiimla, kukiuka misingi mingi ya katiba, kuamini kuwa nchi hii kuna CCM pekee na ni lazima kila Mtanzania awe mwana CCM.
halafu anasahau yeye kapata kura mil8 na mwenzake kapata kura mil6
 
Yaani umesema sahihi jkabisa. CHADEMA hawaelewiki wanachokitaka. Tumepata mkombozi wa wananchi. Hatudanganyiki na mafisadi wachache!
sema sidanganyiki sio hatu..... wew na nan?
 
Unatumia nguvu nyingi sana kuweka point ndogooooo, kimo cha mbuzi

I think JPM is doing things to the best of his abilities, knowledge and understanding... with a little support hasa kwenye nini cha kutamka hadharani tutakua better sana

Hayo mengine unayoongea na yale yale mataptap ya siasa za zamani ambazo sidhani hata kama JPM anazipenda sana

Babu pole kwa yote, ila usitumie nguvu sana kutuletea yaleyale ya siasa zilizokufanya ukafeli kila mtihani
 
Ukabila tu unakusumbua wewe, haya jitahidi unaweza kuambulia udc katika hii teua tumbua ya mkulu.
 
dah, siamini kama uandishi huu ni wa mtu aliewahi kuwa mbunge kweli?
 
Nondo za Nguvu.
 
Ni hatari sana kumsikiliza mwanasiasa muflisi kama Fred Mpendazoe
 

Hii nchi inavituko sana, huyu fred mpendazoe alikuwa mbunge aliyekuwa na nafasi ya karibu kabisa ya kuwa waziri wa wizara fulani na hii ndiyo akili aliyokuwa nayo kuongea mambo kama mjinga.

Mtu mjinga si kwamba hana akili ila akili yake haijachangamshwa kuweza kufikia kiwango cha kufikiri kwa ufasaha na kutoa/kufanya maamuzi sahihi.

“better to write for yourself and have no public, than to write for the public and have no self." c. Connolly

“a people that values its privileges above its principles soon loses both.” d. Eisenhower
“people can't live with change if there's not a changeless core inside them.” s. Covey


"Wenye werevu huwa ni watu wenye mipango na wenye busara huwa ni watu wenye misimamo"

Lakini nathubutu kusema wewe bwana mkubwa fred mpendazoe umekosa vyote, huna werevu wala busara.

Kukutoa shaka mimi si mwanasiasa na sina chama huwa napiga kura kutumia misimamo yangu.

Ila kwa kufatilia maandiko yako mengi nimeona kuwa wewe ni kati ya wale watu wasiojua nini wanataka wapo wapo tu na wanaongozwa na njaa au mahitaji ya tumbo lao.

"In matters of style, swim with the current; in matters of principle, stand like a rock." t. Jefferson

Watu wenye misimamo huwa hawajumbishwi na matukio au vitu. Huwa wanasimama kwenye misimamo ya hata kama wako peke yao sababu wanaamini kwenye wanachokisimamia lakini siyo wewe bwana mkubwa fred mpendazoe .

Kwa msaada wako nenda kajaribu kilimo nchi hii inamapori mengi tu huko yanahitaji wakulima huna sifa za kuwa kiongozi, huwezi kuwa kiongozi bora kama umejaa unafiki.
 
dicteta ni kufanya mambo kinyume na katiba,kama kuna jambo Makufuli amelifanya kinyume na katiba anastahili kuitwa Dicteta
 

Nilitumiwa kama ilivyo naomba kufafanuliwa
 
Kama haya ndiyo mawazo ya mtu anayeitwa Fred Mpendazoe, basi kumbe watu wana shida vichwani mwao. Ndiyo Wtz wengi hufeli kuanzia ngazi ya familia.....
 
Mtoa mada - Raisi mvunja katiba hatufai. Akalime shamba lake -- By Mwalimu Julius Nyerere (RIP).
 
mtu mzima hovyo si kwa kujikomba huko we watu na akili zao na mitazamo yao uwaambie wanadanganywa pye!!!!!MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA.HUO NI MTAZAMO WAKO SIO KILA MTU AUFATE.SO PITA HIVII........
 
1.Kuudhibiti ufisadi
2.Kuasisi mmahakamaya mmafisadi.
3.Kudhibiti MMatumizi.
4.Kusimamia nidhamu ya utumishi wa umma.
5.Kufufua ATC,TRL,Meli....Nk
6.Kuimarisha huduma za afya,elimu nk.
7.Kuongeza mapato ya serikali nk..
Hahahaha pole yako
 
Hautakaa uuone udikteta manake we ni kipofu. Suburi usimuliwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…