Outlier
JF-Expert Member
- Dec 28, 2008
- 323
- 17
Bwa ha ha ha ha ha ha ha ha ha, waliokuwa JKT mwaka ulioutaja ni vijeba, wako above 35!
I wonder hata huyo Yo Yo unayemwaminia ni kijeba au ajuza vile vile. Bwa ha ha ha ha ha ha haaaa.
Endelea kushangaa ila ukweli ni kwamba umechelewa maisha, uko kwenye count down kuelekea forty, shikamoo mzee.
Unaelekea uko obsessed na age; what is the big deal?!
Ubaguzi na unyanyapaa huo hautakiwi; we ukimuita jamaa kijeba kwa kuwa yuko 35+, kumbuka wale ambao wako 15 pia wanakuona we kijeba pamoja na 21 years zako!
Eti count down kuelekea forty, mara ajuza! Wazee wa 65+ wanatesa vile vile kuliko 25 year olds!
Na lastly, kama jamaa yuko 40 he should be thankful; wewe hujui kama utaonja 30! Au unajua?
Good luck, nb: tuwaheshimu wakubwa.