Kumbe hunaga akkili kiasi hiki?Hawa jamaa ni matapeli sana!
Mbowe aliwaambia wasitoke nje ya dodoma kwa siku 14 ili kama wana maambukizi wasiwaplekee wananchi wao.
Makonda leo kawatekenya kila mtu kajua walipo
Mjini akili nguvu kijijini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli anaendesha nchi kwa mihemuko yake binafsi, hakuna Cha Katiba,Sheria taratibu wala Kanuni za nchi.Haya ni matokeo na namba moja kuwa mpuuzi, upuuzi wote unaouona ni matokeo ya Ikulu kushindwa kutawala nchi na kujiegesha kila sehemu hao wote wanawakilisha mawazo ya namba moja.
Sheria,kanuni na Sera wanazitunga wenyewe lakini wao ndiyo wanakiuka,kuzipindisha na kuzivunja vunja kwa maslahi ya chama chao.Hii nchi sasa hivi inakwenda shangala bagala, kiongozi yoyote ilimradi awe wa Chama Tawala anaweza kufanya lolote mda wowote bila kuogopa Katiba,Sheria na Kanuni za nchi.
Cesil Mwambe aliitisha vyombo vya habari yeye mwenye bila kushurutishwa na mtu yoyote akitangaza kujitoa Chadema na Kujiuzuru Ubunge huku akitoa sababu zake.
Alijiunga CCM na kupokelewa na msemaji mkuu wa Chama Ndugu Polepole.
Lakini leo Spika anasema Mwambe arudi bungeni sababu barua ya kudhibitisha kuondoka kwake toka kwenye Chama Cha Chadema haijadhibitishwa.
Hivi majukumu ya Mwanasheria mkuu wa serikali ni yapi.? Haoni huu upuuzi unaondelea ndani ya bunge.?
Juzi Mkurugenzi wa Ubungo ameifanyia kazi barua feki ya kufukuzwa uanachama kwa Meya Jacobo, hata baada ya Chadema na Meya mwenyewe kutoa ufafanuzi mbalimbali lakini Naibu Waziri TAMISEMI Waitara amesema Meya wa Ubungo sio Meya tena...na Mkurugenzi kazi yake sio kuifahamu Katiba ya Chadema..
Ukiangalia haya matukio mawili utaona nchi yetu inaongozwa kwa hisia na matakwa ya watu wachache na sio kwa mjibu wa katiba na taratibu za nchi...
Serikali ijifunze kuheshimu sheria na taratibu za nchi, huko tunakoenda serikali itapata shida sana kuwaongoza Watanzania maana watakuwa Sugu sana.
Badala ya kutatua kero za wananchi itajikuta inatumia bajeti kubwa sana kuwafunga mdomo wananchi na hapo watakuwa wamechelewa sana.
Huyu bwana akili zake, hua zinamtosha yeye mwnyeweViongozi wa juu wa Chadema hawapo makini kwenye kuandika barua
Mtu asiyeheshimu utu ataheshimuje maandishi yaliyoandikwa na watu na yanaweza kubadilishwa muda wowote!? Utu ni kipimo cha busara na hekima za mtuHilo ni la utu tu, ila haya ninayoyasema ni Kikatiba.
Ukistajabu ya ccm awamu hii utapata covid 19,jk ametuletea vilaza wa ajabu kuwahi kutokea duniani,nchi inaongozwa n watu wa hovyohovyo kma ndugai,meko,hepi,bashite,kabudi etc.Hii nchi sasa hivi inakwenda shangala bagala, kiongozi yoyote ilimradi awe wa Chama Tawala anaweza kufanya lolote mda wowote bila kuogopa Katiba,Sheria na Kanuni za nchi.
Cesil Mwambe aliitisha vyombo vya habari yeye mwenye bila kushurutishwa na mtu yoyote akitangaza kujitoa Chadema na Kujiuzuru Ubunge huku akitoa sababu zake.
Alijiunga CCM na kupokelewa na msemaji mkuu wa Chama Ndugu Polepole.
Lakini leo Spika anasema Mwambe arudi bungeni sababu barua ya kudhibitisha kuondoka kwake toka kwenye Chama Cha Chadema haijadhibitishwa.
Hivi majukumu ya Mwanasheria mkuu wa serikali ni yapi.? Haoni huu upuuzi unaondelea ndani ya bunge.?
Juzi Mkurugenzi wa Ubungo ameifanyia kazi barua feki ya kufukuzwa uanachama kwa Meya Jacobo, hata baada ya Chadema na Meya mwenyewe kutoa ufafanuzi mbalimbali lakini Naibu Waziri TAMISEMI Waitara amesema Meya wa Ubungo sio Meya tena...na Mkurugenzi kazi yake sio kuifahamu Katiba ya Chadema..
Ukiangalia haya matukio mawili utaona nchi yetu inaongozwa kwa hisia na matakwa ya watu wachache na sio kwa mjibu wa katiba na taratibu za nchi...
Serikali ijifunze kuheshimu sheria na taratibu za nchi, huko tunakoenda serikali itapata shida sana kuwaongoza Watanzania maana watakuwa Sugu sana.
Badala ya kutatua kero za wananchi itajikuta inatumia bajeti kubwa sana kuwafunga mdomo wananchi na hapo watakuwa wamechelewa sana.