Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,969
- 12,437
Toka bhana useme tu kwamba wewe unatabia ya ubinafsi na uchoyo.Hauli hela yako na mtu,ni bata tu kwanza sai nashusha kuku wali na juisi.nimeanda msosi hapa najisevia tuh. Sitak demu sitaki mke najipenda tu mwenyewe.sitak stress at this age of 30.
Haupo sawa brooHauli hela yako na mtu,ni bata tu kwanza sai nashusha kuku wali na juisi.nimeanda msosi hapa najisevia tuh. Sitak demu sitaki mke najipenda tu mwenyewe.sitak stress at this age of 30.
Eti anakuja kujifariji huku kuwa single ni raha kumbe amekataliwa. Mwanaume halafu anasema anajipenda mwenyewe nimelia sana ๐๐๐Depression is real
Ukute kuna pisi imemlia buyu
Rolling Stone kwenye Albam ya "The Way it Is"_ 1999Hauli hela yako na mtu,ni bata tu kwanza sai nashusha kuku wali na juisi.nimeanda msosi hapa najisevia tuh. Sitak demu sitaki mke najipenda tu mwenyewe.sitak stress at this age of 30.
HahahaEti anakuja kujifariji huku kuwa single ni raha kumbe amekataliwa. Mwanaume halafu anasema anajipenda mwenyewe nimelia sana ๐๐๐
Mimi na Warld tunaosoma comment hii kwa furaha sana๐๐Usingo wa miji mikubwa raha sana ila jaribu kuwa single, njombe, songea, ndio utajua usingo haufai we vuta picha, mfukoni una laki lakin unakosa dem wa kulala nae yaan unambembeleza malaya naenda bar na ka laki mbili kangu na bado nambembeleza barmed nikamle pesa yangu nyege zangu bado nimnunulie bia aisee bora watu wa miji hiyo polen sana uzi za kataa ndoa haziwahusu
Kila kitu chako na bado unambembeleza tena anakupa mashartiUsingo wa miji mikubwa raha sana ila jaribu kuwa single, njombe, songea, ndio utajua usingo haufai we vuta picha, mfukoni una laki lakin unakosa dem wa kulala nae yaan unambembeleza malaya naenda bar na ka laki mbili kangu na bado nambembeleza barmed nikamle pesa yangu nyege zangu bado nimnunulie bia aisee bora watu wa miji hiyo polen sana uzi za kataa ndoa haziwahusu
Ukute hata hizo hela za kugawia demu hana ni kutusumbua tu ๐๐Kachomolewa huyu sio bure๐๐๐ฟ
Kama ni kwenye maji bahari kashapiga vikombe vya kutosha ๐Ukisikia mtu anakwambia Love Yourself, Me , I and Mine.
Usiombee mtafutie msaada
Tutamfuatilia huyu ๐๐๐Eti anakuja kujifariji huku kuwa single ni raha kumbe amekataliwa. Mwanaume halafu anasema anajipenda mwenyewe nimelia sana ๐๐๐
Yamefika shingoni, yaani popote utakapomsikia mtu hasa social media kwamba Jipende mwenyewe, wanadamu hawana Shukrani sijui Bora kujipenda na bla bla ujue tayari kashakunywa vikombeKama ni kwenye maji bahari kashapiga vikombe vya kutosha ๐
Nakazia๐Tutamfuatilia huyu ๐๐๐
Njombe wanawake ni wengi kuliko wanaume unakosaje mwanamke??Usingo wa miji mikubwa raha sana ila jaribu kuwa single, njombe, songea, ndio utajua usingo haufai we vuta picha, mfukoni una laki lakin unakosa dem wa kulala nae yaan unambembeleza malaya naenda bar na ka laki mbili kangu na bado nambembeleza barmed nikamle pesa yangu nyege zangu bado nimnunulie bia aisee bora watu wa miji hiyo polen sana uzi za kataa ndoa haziwahusu
Ukimwi๐Njombe wanawake ni wengi kuliko wanaume unakosaje mwanamke??