Masikini akipata, matako huria mbwata!
Mhenga aliyesema hivi hakuwa na maana ni kweli makalio yatabwata!
Alimaanisha ukipata kitu basi usiwakwaze wengine!
Kuna watu wamejipambanua kwa majina makubwa sana mtandaoni, wanatambulika kama public figure machonj pa watu!
Lakini pamoja na yote, kwa umaarufu wao wanajiona wapo tofauti sana na watu wengine!
Kwasababu ya umaarufu wao wanapongeza hata machungu ya kustahili kukemewa!
Mfano!
1. Bunge lilivyozimwa live, wananchi wengi waliumia, lakini baadhi ya watu maarufu walipongeza kwa kuona wapo tofauti,
2. Wakati wa mswada wa sheria na maudhui ya mtandao yalipokuja watu walipiga kelele, laki hao maarufu waliona haiwahusu wakapongeza etc
YANAOPOKUJA KUWAKUTA YA KUTOKEA, WANARUDI KWENYE JAMII ILEILE KUOMBA MSAADA!
Wanajipambanua machoni pa watu wanakila kitu, wanasuka nywele za 1mil, wanavaa suti za 2mil, wanajimwambafai wao kuwa ni wanawake wa shoka! Wanatetea hata upuuzi unaoumiza!
Halafu siku yanapowakuta ya kuwakuta mfano faini ya 5mil tu wanakuja kuomba msaada kwa jamii ileile!
Mi naona watu maarufu wa namna hii wanapokutwa na jambo tusiwachangie chochote! " waacheni wafu wazikane"
Tuwapite kama nyanya mbovu ili wajifunze kucheka au kuumia pamoja na jamii inapoumizwa!
Mhenga aliyesema hivi hakuwa na maana ni kweli makalio yatabwata!
Alimaanisha ukipata kitu basi usiwakwaze wengine!
Kuna watu wamejipambanua kwa majina makubwa sana mtandaoni, wanatambulika kama public figure machonj pa watu!
Lakini pamoja na yote, kwa umaarufu wao wanajiona wapo tofauti sana na watu wengine!
Kwasababu ya umaarufu wao wanapongeza hata machungu ya kustahili kukemewa!
Mfano!
1. Bunge lilivyozimwa live, wananchi wengi waliumia, lakini baadhi ya watu maarufu walipongeza kwa kuona wapo tofauti,
2. Wakati wa mswada wa sheria na maudhui ya mtandao yalipokuja watu walipiga kelele, laki hao maarufu waliona haiwahusu wakapongeza etc
YANAOPOKUJA KUWAKUTA YA KUTOKEA, WANARUDI KWENYE JAMII ILEILE KUOMBA MSAADA!
Wanajipambanua machoni pa watu wanakila kitu, wanasuka nywele za 1mil, wanavaa suti za 2mil, wanajimwambafai wao kuwa ni wanawake wa shoka! Wanatetea hata upuuzi unaoumiza!
Halafu siku yanapowakuta ya kuwakuta mfano faini ya 5mil tu wanakuja kuomba msaada kwa jamii ileile!
Mi naona watu maarufu wa namna hii wanapokutwa na jambo tusiwachangie chochote! " waacheni wafu wazikane"
Tuwapite kama nyanya mbovu ili wajifunze kucheka au kuumia pamoja na jamii inapoumizwa!