Ukiwa mtanzania ni ngumu kuwekeza kenya

cordoba

JF-Expert Member
Jul 15, 2017
686
962
Wakenya Wana highly protectionism policy, billionaire mtanzania Rostam pekee alitaka kuwekeza 130millions dollars hizi ni pesa nyingi kwa mtu mmoja kuwekeza alienda mbaka kwa uhuru Kenyata toka 2017 mbaka leo anapigwa chenga tu wanamzuia kuwekeza , ushaur kwa Raisi Samia asifungue milango yote ya uwekezaji kwa wakenya maana wao wanatuzuia watanzania kuwekeza kwao
 
Ukiwa mzembe na mwoga mwoga hautawekeza popote, Watanzania hamjaweza kutoka kwenu hapo, jamii moja tu ya wachagga ndio imeweza kuwatoa kimaso maso la sivyo sijui mngekua kivipi, hawa Wachagga wamewekeza huku Kenya tena kote kote, na ikifika msimu wa Krisimasi wao huongozana na magari yao wakivuka mpaka kurudi kwao Kilimanjaro, ila Watanzania wengine wote sijui Wagogo na akina nani hao wengi waliofaulu kuja huku huwa omba omba tu au waganga.
 
Ukiwa mzembe na mwoga mwoga hautawekeza popote, Watanzania hamjaweza kutoka kwenu hapo, jamii moja tu ya wachagga ndio imeweza kuwatoa kimaso maso la sivyo sijui mngekua kivipi, hawa Wachagga wamewekeza huku Kenya tena kote kote, na ikifika msimu wa Krisimasi wao huongozana na magari yao wakivuka mpaka kurudi kwao Kilimanjaro, ila Watanzania wengine wote sijui Wagogo na akina nani hao wengi waliofaulu kuja huku huwa omba omba tu au waganga.
Mabilionea watanzania wanazuiliwa kuwekeza kenya kama skins Rostam
 
Ukiwa mzembe na mwoga mwoga hautawekeza popote, Watanzania hamjaweza kutoka kwenu hapo, jamii moja tu ya wachagga ndio imeweza kuwatoa kimaso maso la sivyo sijui mngekua kivipi, hawa Wachagga wamewekeza huku Kenya tena kote kote, na ikifika msimu wa Krisimasi wao huongozana na magari yao wakivuka mpaka kurudi kwao Kilimanjaro, ila Watanzania wengine wote sijui Wagogo na akina nani hao wengi waliofaulu kuja huku huwa omba omba tu au waganga.
Wachaga wapo karibu na hiyo kenya sio ajabu kutumia fursa hiyo.
Na tungewashangaa kama wasingevuka mpaka huo. Ni kama tu watu walio karibu na mpaka wa zambia wanavyoutumia vilivyo, kuna faida kua karibu na baadhi ya nchi.
 
Mabilionea watanzania wanazuiliwa kuwekeza kenya kama skins Rostam
Achana nae huyo anajaribu kukutoa kwenye reli.

Rostam angeipiga kata funua protectionism ya kikabila. Wanajua wazi bila ukabila hawaweza kufanya biashara na hii ndiyo sababu kuu ya kumchukia Magu kwasababu walipoleta zao yeye alikuwa anarudisha mapigo mara kumi zaidi
 
Wachaga wapo karibu na hiyo kenya sio ajabu kutumia fursa hiyo.
Na tungewashangaa kama wasingevuka mpaka huo. Ni kama tu watu walio karibu na mpaka wa zambia wanavyoutumia vilivyo, kuna faida kua karibu na baadhi ya nchi.

Wacha kujifariji, kuna makabila mengi tumepakana nao zaidi ya Wachagga ila wameganda huko, ukiwa mzembe utakua na vijisababu vingi tu.
Nyie wengine wote haswa Wagogo ndio mumejaa huku kama omba omba.
 
Wakenya Wana highly protectionism policy, billionaire mtanzania Rostam pekee alitaka kuwekeza 130millions dollars hizi ni pesa nyingi kwa mtu mmoja kuwekeza alienda mbaka kwa uhuru Kenyata toka 2017 mbaka leo anapigwa chenga tu wanamzuia kuwekeza , ushaur kwa Raisi Samia asifungue milango yote ya uwekezaji kwa wakenya maana wao wanatuzuia watanzania kuwekeza kwao
Hosipitali muhumbiri wana kusubiri, Omba omba kutaoka inchi ya kilakitu wamejaa kila mijii ya kenya.
My take;
Tuwa ushuri kwa madam president kuhusu hayo au maullana geza ulale atakupa mwelekeyo maksusan
 
Wacha kujifariji, kuna makabila mengi tumepakana nao zaidi ya Wachagga ila wameganda huko, ukiwa mzembe utakua na vijisababu vingi tu.
Nyie wengine wote haswa Wagogo ndio mumejaa huku kama omba omba.
Sio kujifariji mkuu ndio ukweli huo. Wanatumia fursa iliyo karibu yao sijui unachobisha ni nini hapo.
 
Sio kujifariji mkuu ndio ukweli huo. Wanatumia fursa iliyo karibu yao sijui unachobisha ni nini hapo.

Nasema ninachokijua, nimeishi Zanzibar na kuona Wachagga walivyowekeza kule, vilabu vingi na maduka na biashara nyingi nyingi akina Mangi, nimetembelea mikoa mingi Tanzania, hao hao Wachagga unawakuta kote huko na lafudhi zao zile.
Hapa Nairobi jirani wangu Mchagga ameweka bonge la apartments tena za kifahari, kwa kifupi ukiwa mchapa kazi usie mzembe utapokewa kote. Lakini kama wewe mzembe wa kulialia, dunia itakutupia nje.

Nchi yetu hii ipo vizuri kiuchumi kwa sababu huwa tumewakaribisha wageni wawekeze, Wasomali walipopigana kwao huko, matajiri walikuja na mihela na kuwekeza kwa kwenda mbele, mabwenyenye wa Sudan Kusini ndio usipime.......
Mtaani kwangu hapa vinyozi vingi vinamilikiwa na Wanyarwanda.....punguzeni kulialia.

Rais Uhuru alishasema hataki kuskia wageni haswa wa EAC wanazuiwa kwa chochote, yaani unaruhusiwa hata kumiliki kiwanja, ushindwe mwenyewe. Ukiona mtu anazuiwa ujue kuna kitu nyuma ya pazia sio bure. Tunawahitaji sana wawekezaji, waje na hela kama zote....hii ni nchi ya kibepari hatuna hizo pumba za ujamaa.
 
Wakenya Wana highly protectionism policy, billionaire mtanzania Rostam pekee alitaka kuwekeza 130millions dollars hizi ni pesa nyingi kwa mtu mmoja kuwekeza alienda mbaka kwa uhuru Kenyata toka 2017 mbaka leo anapigwa chenga tu wanamzuia kuwekeza , ushaur kwa Raisi Samia asifungue milango yote ya uwekezaji kwa wakenya maana wao wanatuzuia watanzania kuwekeza kwao
KuweKeza Kenya ni rahisi kuliko Tanzania mara elfu kumi. Tanzania longo longo na ubanaishaji ni mwingi sana
 
Nasema ninachokijua, nimeishi Zanzibar na kuona Wachagga walivyowekeza kule, vilabu vingi na maduka na biashara nyingi nyingi akina Mangi, nimetembelea mikoa mingi Tanzania, hao hao Wachagga unawakuta kote huko na lafudhi zao zile.
Hapa Nairobi jirani wangu Mchagga ameweka bonge la apartments tena za kifahari, kwa kifupi ukiwa mchapa kazi usie mzembe utapokewa kote. Lakini kama wewe mzembe wa kulialia, dunia itakutupia nje.

Nchi yetu hii ipo vizuri kiuchumi kwa sababu huwa tumewakaribisha wageni wawekeze, Wasomali walipopigana kwao huko, matajiri walikuja na mihela na kuwekeza kwa kwenda mbele, mabwenyenye wa Sudan Kusini ndio usipime.......
Mtaani kwangu hapa vinyozi vingi vinamilikiwa na Wanyarwanda.....punguzeni kulialia.

Rais Uhuru alishasema hataki kuskia wageni haswa wa EAC wanazuiwa kwa chochote, yaani unaruhusiwa hata kumiliki kiwanja, ushindwe mwenyewe. Ukiona mtu anazuiwa ujue kuna kitu nyuma ya pazia sio bure. Tunawahitaji sana wawekezaji, waje na hela kama zote....hii ni nchi ya kibepari hatuna hizo pumba za ujamaa.
Tell them, cak arab indians suckers.
 
Ukiwa mzembe na mwoga mwoga hautawekeza popote, Watanzania hamjaweza kutoka kwenu hapo, jamii moja tu ya wachagga ndio imeweza kuwatoa kimaso maso la sivyo sijui mngekua kivipi, hawa Wachagga wamewekeza huku Kenya tena kote kote, na ikifika msimu wa Krisimasi wao huongozana na magari yao wakivuka mpaka kurudi kwao Kilimanjaro, ila Watanzania wengine wote sijui Wagogo na akina nani hao wengi waliofaulu kuja huku huwa omba omba tu au waganga.

..issue ya Rostam ni capital flight.

..Nimefurahi jinsi mlivyomzuia.

..ameiba huku Tanzania halafu anataka ku-invest Kenya.

..Rostam should invest right here in Tz and create employment for our youths.
 
Wakenya Wana highly protectionism policy, billionaire mtanzania Rostam pekee alitaka kuwekeza 130millions dollars hizi ni pesa nyingi kwa mtu mmoja kuwekeza alienda mbaka kwa uhuru Kenyata toka 2017 mbaka leo anapigwa chenga tu wanamzuia kuwekeza , ushaur kwa Raisi Samia asifungue milango yote ya uwekezaji kwa wakenya maana wao wanatuzuia watanzania kuwekeza kwao
Ubinafsi
 
..issue ya Rostam ni capital flight.

..Nimefurahi jinsi mlivyomzuia.

..ameiba huku Tanzania halafu anataka ku-invest Kenya.

..Rostam should invest right here in Tz and create employment for our youths.
Umemaliza mjadala. I thought so. Vile najua Kenya pesa yeyote haikataliwi ata kama ni ya pirates ama walanguzi wa madawa ya kulevya.., Bora mtu awekeze kwa kufuata sheria.., ubepari.
 
..issue ya Rostam ni capital flight.

..Nimefurahi jinsi mlivyomzuia.

..ameiba huku Tanzania halafu anataka ku-invest Kenya.

..Rostam should invest right here in Tz and create employment for our youths.
Amesha invest tanzania heavily
 
..issue ya Rostam ni capital flight.

..Nimefurahi jinsi mlivyomzuia.

..ameiba huku Tanzania halafu anataka ku-invest Kenya.

..Rostam should invest right here in Tz and create employment for our youths.
Anyone can imagine in a round table meeting between rostam and zezetas executives.
Ze first order of the agenda item, ze zezetas chama cha madudu lead executives will demand to be served with big tray like plates of wali na chakula mzuri.
 
Ukiwa mzembe na mwoga mwoga hautawekeza popote, Watanzania hamjaweza kutoka kwenu hapo, jamii moja tu ya wachagga ndio imeweza kuwatoa kimaso maso la sivyo sijui mngekua kivipi, hawa Wachagga wamewekeza huku Kenya tena kote kote, na ikifika msimu wa Krisimasi wao huongozana na magari yao wakivuka mpaka kurudi kwao Kilimanjaro, ila Watanzania wengine wote sijui Wagogo na akina nani hao wengi waliofaulu kuja huku huwa omba omba tu au waganga.
Ila Tanzania bila kuwa na wachagga na wapare sijui ingekuaje... Most of them ni so lazy wavivu hawapendi kufanya kazi wala maendeleo. Majungu, ngono kucheza mziki na stareh zinginezo... Makabila yote tz yan ni hakuna kitu maybe wale wa pesa za kutoa kafata kule ukingani ...

Hawawez kutoka nje ya kwao na kuwekeza
 
Back
Top Bottom