Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,452
Ukiwa huna pesa unadharaulika sana, hata kama kuna mwanamke alitokea kukupenda akishagundua huna pesa atakuchukia vibaya sana na atakuona kama taka taka.
Ndugu , jamaa na marafiki ni vigumu kukupigia simu na wao ni vigumu kupokea simu yako.
Hata jambo lolote utakaloshauri halita sikilizwa utaonekana mpuuzi tu.
Ndugu , jamaa na marafiki ni vigumu kukupigia simu na wao ni vigumu kupokea simu yako.
Hata jambo lolote utakaloshauri halita sikilizwa utaonekana mpuuzi tu.