Ukitaka kuwa mbaya, dai chako!

ndo hivyo mashoga walivyo.....ila komaa nae....mwizi tu huyo.....hajapoteza wala nini....vipo anavyo....ila Zindu....pamvu na ndweo maana yake ni nini.....?

Ndweo maana yake ni Kiburi au Majivuno kwa Kingazija.
Pamvu maana yake ni ile sherehe ya kupokea mahari, huku Pwani twaita Pamvu
Mnisamehe, na kama lugha yangu ni ngumu naomba muwe mnaomba ufafanuzi kama alivyofanya mwenzenu.
 
Ndweo maana yake ni Kiburi au Majivuno kwa Kingazija.
Mnisamehe, na kama lugha yangu ni ngumu naomba muwe mnaomba ufafanuzi kama alivyofanya mwenzenu.

usimind mambo ya lugha ni kawaida kawaida kuzungumza kile ulichozoea.... ila yani usikate tamaa coz hata kama akiongea nini maneno hayatakuumiza mkono wala kukata hata nywele... ila cha msingi ni kulipwa hela au arudishe hakikisha unaenda na uso wa mbuzi wa ukweli yani
 
tafuta mtu alie karibu nae na umuombe akamwambie unaomba 'vidani' vyako, or equivalent kifehda. akiendelea kujifanya victim basi peleka kesi polisi. yeye amesha onesha sio rafiki yako tena, kwa nini unamlea?
 
tafuta mtu alie karibu nae na umuombe akamwambie unaomba 'vidani' vyako, or equivalent kifehda. akiendelea kujifanya victim basi peleka kesi polisi. yeye amesha onesha sio rafiki yako tena, kwa nini unamlea?
Au amroge huyo rafiki yake ili awe chizi au.... Nalog off
 
Kweli ukitaka kuwa mbaya, dai chako, ina maana keshakutangazia ubaya kwa marafiki zako!? hebu mpeleke kwa sheha huyo baradhuli.........lol
 
Mwambie akurejeshe huyo mwizi tuu aliazimia nini kama hawezi kutunza? mbona chupi yake hakupoteza karudi nayo? mwambie asikushughulishe kwa fikra una mengi yanakutosha.
 
tafuta mtu alie karibu nae na umuombe akamwambie unaomba 'vidani' vyako, or equivalent kifehda. akiendelea kujifanya victim basi peleka kesi polisi. yeye amesha onesha sio rafiki yako tena, kwa nini unamlea?

Nilikwenda kumweleza Nyanya yake, na alipoitwa na kuulizwa, akaanza kutoa ndarire nyingi zisizo na maana. Lakini nimempa juma moja, awe amenilipa la sivyo nitajua cha kufanya.
 
Nilikwenda kumweleza Nyanya yake, na alipoitwa na kuulizwa, akaanza kutoa ndarire nyingi zisizo na maana. Lakini nimempa juma moja, awe amenilipa la sivyo nitajua cha kufanya.

Au amroge huyo rafiki yake ili awe chizi au.... Nalog off
Kua makini sana mpendwa, nakushahuri usimfate washawasha, alie mroga yeye kisha fariki kwa hiyo tumeamua kumpenda na kumvumilia hivo hivo ila hafai kabisa kaka yetu huyu! :)
 
Back
Top Bottom