Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,177
- 2,551
Nimethibitisha ni wazi kuna tatizo kubwa sana huko ndani kwenye uongozi wa simba.
Sijajua exactly kama ni hela hakuna??, Viongozi wamejigawa??, au kingine chochote ila nakuhakikishia kuna tatizo kubwa sana.
Facial expression ya msemaji wetu Ahmed ally haipo sawa kabisa,, anajitahidi tu kwa sababu ndio profession yake,,, Huyu jamaa anajitahidi kiukweli kuweka mazingira ya huko ndani yaonekanale sawa wakati si shwari hata kidogo
Juzi juzi alituambia Simba wanasajili Kimya Kimya na tayari washamalizana na baadhi ya wachezaji wasio pungua watano....yote haya ni just kupunguza pressure kwa mashabiki
Leo anakuja na kusema, Jana wamekamilisha usajili wa wachezaji wawili, na leo mchezaji mmoja.....ni wazi hii inatoa jibu ya moja kwa moja kuwa kuna shida maana kauli yake ya nyuma na hii ya leo zinakinzana.
Sijasoma saikolojia but ukiwaza i'm feel utakuja na maswali haya.....Simba ilikuwa wapi kuchelewa kusajili??,,, mwekezaji anatoa hela kweli???,,,kwanini utopolo wanajiamini kwa kiasi hiki ni wazi wanajua kuna mpasuko Msimbazi???? nk.nk.
Mwisho na muhimu: ally kamwe na Yanga kwa ujumla hawajitambi kwa bahati mbaya lazima kuna tatizo upande wetu.
Msimu huu mpya sidhani kama tutafika mbali kuanzia ligi ya ndani mpaka kimataifa,,, sina matumaini na timu yangu kabisa....hili nimeliongea bila unafiki.
NAISUBIRIA SIMBA MPYA BILA MO,, NDIO SIMBA ITAKAYOKUWA TISHIO ZAIDI..
Sijajua exactly kama ni hela hakuna??, Viongozi wamejigawa??, au kingine chochote ila nakuhakikishia kuna tatizo kubwa sana.
Facial expression ya msemaji wetu Ahmed ally haipo sawa kabisa,, anajitahidi tu kwa sababu ndio profession yake,,, Huyu jamaa anajitahidi kiukweli kuweka mazingira ya huko ndani yaonekanale sawa wakati si shwari hata kidogo
Juzi juzi alituambia Simba wanasajili Kimya Kimya na tayari washamalizana na baadhi ya wachezaji wasio pungua watano....yote haya ni just kupunguza pressure kwa mashabiki
Leo anakuja na kusema, Jana wamekamilisha usajili wa wachezaji wawili, na leo mchezaji mmoja.....ni wazi hii inatoa jibu ya moja kwa moja kuwa kuna shida maana kauli yake ya nyuma na hii ya leo zinakinzana.
Sijasoma saikolojia but ukiwaza i'm feel utakuja na maswali haya.....Simba ilikuwa wapi kuchelewa kusajili??,,, mwekezaji anatoa hela kweli???,,,kwanini utopolo wanajiamini kwa kiasi hiki ni wazi wanajua kuna mpasuko Msimbazi???? nk.nk.
Mwisho na muhimu: ally kamwe na Yanga kwa ujumla hawajitambi kwa bahati mbaya lazima kuna tatizo upande wetu.
Msimu huu mpya sidhani kama tutafika mbali kuanzia ligi ya ndani mpaka kimataifa,,, sina matumaini na timu yangu kabisa....hili nimeliongea bila unafiki.
NAISUBIRIA SIMBA MPYA BILA MO,, NDIO SIMBA ITAKAYOKUWA TISHIO ZAIDI..