Ukitaka kufurahia mapenzi basi wewe jitoe ufahamu

Ukitaka kufurahia mapenzi basi wewe jitoe ufahamu

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,639
Ishi kama hakuna logic duniani na usijiulize-ulize maswali kutaka kuchambua mambo. Ukiwa unataka kuingia penzini kazi ache akili zako maabara zisaidie kukuza minyoo... ♥

Kila mtu anataka mpenzi wake peke yake lakini kila
mpenzi unayegusa unakuta jamaa walipita zamani na hawana idadi. Na ukijifanya kutumia akili kumuuliza "Umewahi kulala na Wanaume wangapi before me" Jibu lao huwa ni rahisi kweli...."Wawili tu yaani we ndo wa 3". Wakati kumbe wewe ni kijamaa cha 54...Wazamani wapo 53... ♥

Mtu ana ana wapenzi wa zamani 53 atakuwaje Mpenzi wa peke yako? Wapenzi wazamani wengine hawana huruma, hata wasipoonana Miaka 2, siku wakikutana analowa jamaa anapitisha Dekio na atarudi home atakutext "I love you babe mi ndo nalala, Nakupenda sana" ♥

Ukiamua kupenda we penda tu, ila ukitaka kujua
yanayojiri ndani ya penzi lako utawekewa dripu bure.. Shikamoo wewe hapo ambaye wapenzi wa zamani wapo 36 kila mkikutana lazima mpashe
kiporo japo unampenda mmeo.. Shkamoo lakini hiyo tabia kuna siku itakua ya moto sana na sitakwambia kwa nini...

Tambua kuwa ni kosa kubwa sana tena siyo la mfano ku replay na ex wako. Najua unataka kujua kuna madhara gani? Nitasema kesho sana..Mapenzi matamu sana jamani
 
.Ishi kama hakuna LOGIC duniani na
usijiulize-ulize maswali kutaka kuchambua
SITUATIONS Ukiwa unataka kuingia Penzini
kaziache akili zako LABORATORY zisaidie kukuza
minyoo...
Kila
mtu anataka MPENZI WA PEKE YAKE lakini kila
mpenzi unayegusa unakuta JAMAA WALIPITAGA
ZAMANI na hawana idadi...Na ukijifanya kutumia
AKILI kumuuliza "Umewahi kulala na Wanaume
wangapi before me",Jibu lao huwa ni rahisi
kweli...."Wawili tu yaani we ndo wa 3",Wakati
kumbe wewe ni kijamaa cha 54...Ana MAEX 53...
Mtu ana
MAEX 53 atakuwaje MPENZI WA PEKE YAKO???
MAEX wengine hawana huruma,hata
wasipoonana Miaka 2,siku wakikutana ANALOWA
jamaa anapitisha Dekio,na atarudi home
atakutext,"I love you babe mi ndo
nalala,Nakupenda sana"
Ukiamua
kupenda WE PENDA TU,ila ukitaka kujua
yanayojiri ndani ya Penzi lako UTAWEKEWA
DRIPU BURE...Shkamoo wewe hapo ambaye EX
WAKO WA 36 kila mkikutana lazima mpashe
kiporo japo unampenda mmeo..Shkamoo
Lakini hiyo tabia kuna siku itakua ya moto sana na sitakwambia kwa nini... Tambua kua ni kosa kubwa sana tena siyo la mfano ku replay na ex wako
Najua unataka kujua kuna madhara gani? Nitasema kesho
Sana...Mapenzi matamu sana jamani
Duuuu Leo jamaa umeamua kutoa nyuzi,
Halafu nyingi zinaviashiria vya kuwatetea wanawake tu,
Au wewe n mtetezi wa akina mama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee pitia kwa Mangi unywe bia ntalipa umeongea point
Kuna wakat ukiwa na mahusiano unachotakiwa ni kutulia tu kabsaa ili maisha yaende kwa amani

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom