Mpenzi acha ubishi ni MEN tu hao
hujambo mtoto mzuri?
sikuoni kabisaa...
Kama wanawake wanaojiuza bado ni wanawake wanaume wanaojiuza nao ni wanaume vile vile. Na kama mnataka kupinga hiyo tabia pingeni kwa wanawake pia, badala ya kuonyesha kwamba wanaume ni bora zaidi hivyo wanatakiwa kununua na sio kujiuza, na wanawake wanafaa kununuliwa pekee na sio kununua.
Wote ni wafanya biashara, na kama biashara wanayofanya sio nzuri ichukuliwe hivyo kwa wote wanaohusika kuuza na kununua.
Lol!! Boss mzima lakini kumbe bado uko fit..:lol:hujambo mtoto mzuri?
sikuoni kabisaa...
heheheh DC bana!
Wanaume kwani wakoje? Nijuavyo wana ile bakora ya ajabu kama wengine. Hicho ndicho hutofautisha maana mavazi au style ya nywele si hoja siku hizi.Ndevu na kutokuwa na maziwa si hoja pia.
Wanaume kujiuza kwa wanawake haiwezi kushika kasi hata kidogo.
yaani! Siko peke yangu kwenye kushangaa TFTausi wewe unashangaa leo wakati haya mambo yameanza karibia miaka 4 nyuma, tena kuna wadada wakiwaona hao wanaume wanawababaikia kweli na wanaingia mkenge kweli kweli
Acha nicheke..maana kununa zama izi za maisha magumu si ishu.
Nani anataka kujua una shida?
Kama wanawake wanaojiuza bado ni wanawake wanaume wanaojiuza nao ni wanaume vile vile. Na kama mnataka kupinga hiyo tabia pingeni kwa wanawake pia, badala ya kuonyesha kwamba wanaume ni bora zaidi hivyo wanatakiwa kununua na sio kujiuza, na wanawake wanafaa kununuliwa pekee na sio kununua.
Wote ni wafanya biashara, na kama biashara wanayofanya sio nzuri ichukuliwe hivyo kwa wote wanaohusika kuuza na kununua.
Msome TF hapo chini...inashika kasi kuliko unavyodhania
AK usisahau tu kunijulisha vazi la kutilia siku hiyo mapema.Lolzdah!!!................. nilikuwa nimeziba masikio................. lakini kwa maneno haya nimesikia....................... we sister kichwa sana, .................. nitakutafuta unisindikize mahali.................
Asante Lizzy.... hiyo ndiyo mantiki ya mada.
Ati wanaume wanaojiuza siyo wanaume?! Na ni lini tuliambiwa wanawake wanaojiuza si yo wanawake?
Tabia mbaya akifanya mwanaume, wanamkana siyo mwenzao badala ya kumrekebisha!
hujambo mtoto mzuri?
sikuoni kabisaa...
Hapana dada,
Huo siyo MEN......Ukihitaji ushahidi nambie!!
Babu DC!!
Haya ....wasiojua wamejua..wenye kukana wakane...ila habari ndiyo hiii
utakanaje ukweli?
Ndo lishakuwa zigo lao
wahangaike nalo tu
wamama wamehangaika nalo wee
bila mafanikio
mwishowe wamezoea
wababa bado wako kwenye 'denial'