Ukisikia Nzi kufia kidondani ndio huku

Falcon

JF-Expert Member
Aug 16, 2010
245
68

A female student in Kenya has revealed that she has infected a total of 324 men with the Human Immunodeficiency Virus (HIV).
The HIV positive girl, who attends the Kabarak University in Nakuru, is said to have been infected by a man at a party.
The unnamed 19-year old is allegedly aiming to infect a total of 2000 men in revenge.
According to reports:

The girl allegedly contacted Kenyan Scandals on Facebook and claimed she had something to confess.
After she was assured her identity was going to be protected profile along with the article) she wrote: “Sep 22nd 2013 is a day I”ll never forget, we went clubbing in town and got drunk with some senior students then went back hostels for party round 2″.

She then explained that when she woke up, the morning after, she realized a boy called Javan had had sex with her while she was drunk.
“I only asked if he used a condom and he said yes, however when taking bath I noticed sperms down there, I wanted to commit suicide, I feared getting pregnant and HIV.”
When she discovered she was HIV positive, the girl confronted Javan who insisted he was clean.
“I was so depressed and took alcohol to die, I even bought poison, the pain was just unbearable how was I gone face the world, I let my parents down, I gave up on the world and just wanted to end my life. My future had been ruined, somehow someone had to pay,” the girl said.
“I accepted my fate and promised to make all men I come across suffer, I know I’m attractive and men both married and unmarried chase me left right and centre.
“I buried the good girl in me and became the bad girl, my goal was to infect as many as possible,” she explained.
The girl then confessed she had already infected 324 men, 156 of which are students at the Kabarak University where she studies, the rest are married men, lecturers, lawyers, celebrities and politicians.
“Not a day passes without me having sex, mostly 4 people per day,” she continued in her confession. “Your day is coming, you men destroyed my life and I will make you and your people pay for it”
 
Ooyooo ni kweli na nimeamini na hii kitu ni mbaya sana na ubaya wake ni kuipa kisogo famelia na ujambazi utapile na kila aina ya udokozi ili aende kustarihe na kila mswahili atadai na namba ya simu yake maana kwa sisi waafiria ndo ngoma yetu hii tena kubwa sana na tuko tayari kumjengea banguloo la nguvi na mimi na familia niko radha nikapange chumba lakini kwa ngoma hii naona wenge wataisifia kama kipofu kuwona mwezi
 
akamatwe mara moja, sheeria ya Tz (HAPCA)huyo ni criminal

Mbona Unachafuwa nyoyo za watu Tanzania kuna sheria au mwenye Nguvu (Uwezo)mpishe ,siku ambayo utaona sheria inafanya kazi Tanzania kwa kila Rai kumbuka itakuwa imebaki kama miezi 3 kurudi kwa Jesus
 
Mbona Unachafuwa nyoyo za watu Tanzania kuna sheria au mwenye Nguvu (Uwezo)mpishe ,siku ambayo utaona sheria inafanya kazi Tanzania kwa kila Rai kumbuka itakuwa imebaki kama miezi 3 kurudi kwa Jesus

hah, Falcon ni wewe kweli? haya bhana
 
Ooyooo ni kweli na nimeamini na hii kitu ni mbaya sana na ubaya wake ni kuipa kisogo famelia na ujambazi utapile na kila aina ya udokozi ili aende kustarihe na kila mswahili atadai na namba ya simu yake maana kwa sisi waafiria ndo ngoma yetu hii tena kubwa sana na tuko tayari kumjengea banguloo la nguvi na mimi na familia niko radha nikapange chumba lakini kwa ngoma hii naona wenge wataisifia kama kipofu kuwona mwezi

mbona husomeki we raia wa wapi
 
Ooyooo ni kweli na nimeamini na hii kitu ni mbaya sana na ubaya wake ni kuipa kisogo famelia na ujambazi utapile na kila aina ya udokozi ili aende kustarihe na kila mswahili atadai na namba ya simu yake maana kwa sisi waafiria ndo ngoma yetu hii tena kubwa sana na tuko tayari kumjengea banguloo la nguvi na mimi na familia niko radha nikapange chumba lakini kwa ngoma hii naona wenge wataisifia kama kipofu kuwona mwezi[/QUOTE
hiki ndo kingazija?
 
Hizi story bana.
Huyo mwanamke pichani ni nani?? Maana kila story ya aina hii nakuta ni picha yake inatumiwa ila tofauti inakua ni Nchi na tukio lenyewe lilivyo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ana ushahidi gani kuwa ameshawaambukiza tayari hao wote kwa idadi aliyotaja?

Au yeye anajua akishakufungulia miguu basi ndio ameshakuambukiza, kama ameamua kutoa uroda ikiwa kama kipaji chake hapo sawa lakini sio kwa gia ya kuambukiza.

Hajui kuwa unaweza pita hapo na wala usiambukizwe, shauri yake mwacheni ajichoshe mwili wake
 
Science doesn't work like that not everyone she sleeps with shall end up infected!
 
Ila mtu akiwaana endelea kufanya unprotect sex si ndo anazidisha shida na afya yake ndo inaendelea kuporomoka, huyu anti mbona bado anaita tu, au siujui ukimwi vizuri mimi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom