ukisikia hilo neno jua:
1- umewakana ndugu zako na unamtimizia yeye na nduguze
2- unachunwa kirahisi than wanaume wenzako
3 - anakupush uingie mfukoni zaidi
4--umeshakuwa fala wake
jiulize yeye anacare kwakukupa nini? usanii mkubwa
Update:::
wanaume mnatakiwa mjue mkeo anawaza utakufa wewe na atabaki yeye na kila ulichochuma akitawale bila kujali hapo ulipo ni faida ya uwekezaji wa familia na ndugu wengi tu... ndio maana mara zote hupambana kukutoa karibu na nduguzo so that ajimilikishe.... naweza kusema 20% ya vifo vya wanaume husababishwa na wake zao kwa kukusudia au bila kukusudia.... wapo wanaume hurudi kwao usiku sio kwa kutaka bali tu husda na gubu za hao wapenzi wao ambao hawaridhiki na lolote zaidi ya kuwachunaaaaaa
1- umewakana ndugu zako na unamtimizia yeye na nduguze
2- unachunwa kirahisi than wanaume wenzako
3 - anakupush uingie mfukoni zaidi
4--umeshakuwa fala wake
jiulize yeye anacare kwakukupa nini? usanii mkubwa
Update:::
wanaume mnatakiwa mjue mkeo anawaza utakufa wewe na atabaki yeye na kila ulichochuma akitawale bila kujali hapo ulipo ni faida ya uwekezaji wa familia na ndugu wengi tu... ndio maana mara zote hupambana kukutoa karibu na nduguzo so that ajimilikishe.... naweza kusema 20% ya vifo vya wanaume husababishwa na wake zao kwa kukusudia au bila kukusudia.... wapo wanaume hurudi kwao usiku sio kwa kutaka bali tu husda na gubu za hao wapenzi wao ambao hawaridhiki na lolote zaidi ya kuwachunaaaaaa