Ukishatambua wapi ulipokosea, wewe tubu

Ukishatambua wapi ulipokosea, wewe tubu

Kuna member anajiita ice breaker naye alilalamika kuigwa id yake kimfanano. Wengine huiga avator ileile. Shangaa hii, Panasonic na Panasoanic, moja ni kweli na nyingine ni bosheni tu, ukiingia kichwakichwa bila kuwa makini utaliwa. Lucas wa ukweli anaandika kichawa sana, wameamua kumkomesha juu kwa juu
 
Ndugu zangu watanzania ukweli Leo nimebubujikwa na machozi mengi ya furaha baada ya kuona Wana JamiiForums wenzaungu wamenisamehe na kuniona mi ni mwenzao na ukweli nimetubu dhambi zangu mana nilikuwa nimechagua njia ya uovu na Sasa nimerudi kwenye njia ya haki na naimani sitapotea Tena ndugu zangu watanzania

Mniombee ndugu yenu mpambanaji wenu na naapa tarehe 13 nitakuwepo kisutu kufatilia kesi ya shujaa wetu raisi wetu kipenzi chetu na baba yetu TUNDULISU naomba watanzania wote kwa ujumla tumuombee Dua mkombozi wetu mana anaenda kuachiwa na kuwa huru na kwenda kuchukua ikulu nami nimechagua njia ya haki na naombeni ndugu zangu rafiki zangu kaka zangu dada zangu tuungane kumtetea shujaa wetu TUNDULISU

Maana ndo mkombozi wetu na hakika furaha aliyokua nayo gerezani Kuna mtu yupo uraiani Hana basi itoshe kusema lisu ndo kiongozi anayetufaa watanzania wapenda haki na usawa wa kisheria Mungu Ibaliki CHADEMA mungu mbaliki TUNDULISU Mungu Ibariki TANZANIA
Tunakushukuru sana ndugu yetu Lucas mwashamba kwa kuja humu jukwaani. Maana hapo mwanzoni tulikuwa na Lucas Mwashambwa, CHAWA asiye jitambua! Ametusumbua sana huyu mpuuzi.
 
Ndugu zangu watanzania ukweli Leo nimebubujikwa na machozi mengi ya furaha baada ya kuona Wana JamiiForums wenzaungu wamenisamehe na kuniona mi ni mwenzao na ukweli nimetubu dhambi zangu mana nilikuwa nimechagua njia ya uovu na Sasa nimerudi kwenye njia ya haki na naimani sitapotea Tena ndugu zangu watanzania

Mniombee ndugu yenu mpambanaji wenu na naapa tarehe 13 nitakuwepo kisutu kufatilia kesi ya shujaa wetu raisi wetu kipenzi chetu na baba yetu TUNDULISU naomba watanzania wote kwa ujumla tumuombee Dua mkombozi wetu mana anaenda kuachiwa na kuwa huru na kwenda kuchukua ikulu nami nimechagua njia ya haki na naombeni ndugu zangu rafiki zangu kaka zangu dada zangu tuungane kumtetea shujaa wetu TUNDULISU

Maana ndo mkombozi wetu na hakika furaha aliyokua nayo gerezani Kuna mtu yupo uraiani Hana basi itoshe kusema lisu ndo kiongozi anayetufaa watanzania wapenda haki na usawa wa kisheria Mungu Ibaliki CHADEMA mungu mbaliki TUNDULISU Mungu Ibariki TANZANIA
Mbona hii lugha ni kama 'very flattering' vile? Anyway, sijui undani wake.
 
Hamna ujamaa wowote hugu ni wa mbozi wewe Mwashamba ni wapi.unamuharibia pakubwa poti wako.
 
Ukweli nimebubujikwa na machozi mengi ya huzuni kuona Kuna mtu kaniibia jina langu afu kajimilikisha yeye naumia sana
We bwana mkorofi sana.Mwashambwa OG analia na kububujikwa machozi ya huzuni kuingilia ulaji wake .anasema hadi uandishi wake umeiga na wewe eti unabubujikwa machozi.
 
Kuna member anajiita ice breaker naye alilalamika kuigwa id yake kimfanano. Wengine huiga avator ileile. Shangaa hii, Panasonic na Panasoanic, moja ni kweli na nyingine ni bosheni tu, ukiingia kichwakichwa bila kuwa makini utaliwa. Lucas wa ukweli anaandika kichawa sana, wameamua kumkomesha juu kwa juu
Waige na ya Paschal Mayalla waondoe A huko mwishoni.mzee wa voice within na ni yeye.
 
Ndugu zangu watanzania ukweli Leo nimebubujikwa na machozi mengi ya furaha baada ya kuona Wana JamiiForums wenzaungu wamenisamehe na kuniona mi ni mwenzao na ukweli nimetubu dhambi zangu mana nilikuwa nimechagua njia ya uovu na Sasa nimerudi kwenye njia ya haki na naimani sitapotea Tena ndugu zangu watanzania

Mniombee ndugu yenu mpambanaji wenu na naapa tarehe 13 nitakuwepo kisutu kufatilia kesi ya shujaa wetu raisi wetu kipenzi chetu na baba yetu TUNDULISU naomba watanzania wote kwa ujumla tumuombee Dua mkombozi wetu mana anaenda kuachiwa na kuwa huru na kwenda kuchukua ikulu nami nimechagua njia ya haki na naombeni ndugu zangu rafiki zangu kaka zangu dada zangu tuungane kumtetea shujaa wetu TUNDULISU

Maana ndo mkombozi wetu na hakika furaha aliyokua nayo gerezani Kuna mtu yupo uraiani Hana basi itoshe kusema lisu ndo kiongozi anayetufaa watanzania wapenda haki na usawa wa kisheria Mungu Ibaliki CHADEMA mungu mbaliki TUNDULISU Mungu Ibariki TANZANIA
Embu tupe ushuhuda! Nini hasa kimejiri! Just a simple testimony Lucas
 
Back
Top Bottom